Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mjomba karibu BavichaSiasa za vyama ni pumba siku zote.... Haijalishi ni chama gani
CCM itaondolewa kwa harakati za majukwaani za siku 7 tuSipati picha uwanja wa siasa ukiwa sawa, CCM na mbinu zao za kijima hawatapata muda kujibu hoja,akili mukichwa, hamasisheni vijana wajiandikishe kwa wingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wadeki lami kuliko walamba viatu. Usipoteshe, walamba viatu wanajulikana na ma UV CCM na mashabiki ya hicho chama chakavu!BAVICHA hawa hawa wadeki lami, walamba viatu na wazungusha mikono ndio wawe taasisi ya vijana inayoongoza afrika?
Hawa jamaa watapewa kesi ya uhujumu uchumi usirushe clip hio wakaionaAcheni tu siasa ziendelee kupigwa marufuku , maana zikiruhusiwa visukari vya watu vitapanda mara dufu .
Hapa ni mkoani Morogoro kwenye Kikao cha ndani cha BAVICHA, ambayo imebainika sasa kuwa ndio Taasisi ya vijana inayoongoza barani Africa.
View attachment 1360546
Zama zimebadilikaBAVICHA hawa hawa wadeki lami, walamba viatu na wazungusha mikono ndio wawe taasisi ya vijana inayoongoza afrika?
Wakanzwa ni yule aliyekuwa anamvalishankiatu RidhiwaniBora wadeki lami kuliko walamba viatu. Usipoteshe, walamba viatu wanajulikana na ma UV CCM na mashabiki ya hicho chama chakavu!
πππHawa jamaa watapewa kesi ya uhujumu uchumi usirushe clip hio wakaiona
Bora wadeki lami kuliko MAFISADI NA MAJIZI yaliyorundikana kwenye hicho chama chako Cha kishetani(ccm)BAVICHA hawa hawa wadeki lami, walamba viatu na wazungusha mikono ndio wawe taasisi ya vijana inayoongoza afrika?