Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hebu jionee mwenyewe na ujifanyie tathmini yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaUkitaka kuua CHADAMA utaanza kufa wewe!
Ulichoandika na wanavyoonekana ni vitu viwili tofauti. Hawaonekani hata na Ujasiri wowote ule. Ni kama wameshtuka kutoka usingizini. wanajibu kama wamefundishwa kuongea Jana.
Karibu sana mkuuKwa hiyo hapo ndo wametikisa mbeya??
fikicha machoUlichoandika na wanavyoonekana ni vitu viwili tofauti. Hawaonekani hata na Ujasiri wowote ule. Ni kama wameshtuka kutoka usingizini. wanajibu kama wamefundishwa kuongea Jana.
Anyway tunawatakia coming back nzuri.
sasa kwani hapo ni kwako?Kwa hiyo hapo ndo wametikisa mbeya??
Wanafiki wakubwa. Jiwe katuendesha mchaka mchaka wakatutelekeza wananchi. Tumesota peke etu hadi Mungu alipoingilia kati. Eti leo mtesi wetu hayupo ndio wanajitokeza.
Au umetikiswa wewe na ukatikisika.. Hebu acheni blah bala nyie bavichasasa kwani hapo ni kwako?
Ameiacha sawa na mkapa alivyoiacha NCCRJiwe kapambana na CHADEMA kaiacha
Kaiacha na mbunge 1Jiwe kapambana na CHADEMA kaiacha
Kwa uchaguzi upi ?Kaiacha na mbunge 1
Jiwe hatari sana
Kutoka kwa Mwaifunga hakukutokana na hisani , ametoka kisheria , unataka tumbembeleze nani ?kati ya vitu vya kijinga walivyovifanya Twaha na mwenzake, ni kuanza kutamba baada ya Mwaifunga kutoka, wakati kuna wengine wapo ndani. hii itawafanya wengine waendelee kubaki ndani.ninaamini inaweza kutokea hivyo. walitakiwa waende kwa hekima, ajabu yake vijana wa chadema hawanaga hekima, wamejaa ulimbukeni.
unaongea hivyo kwasababu haupo ndani, ungekuwa ndani na unapitia ile hali ungetamani wote watoke. kwani wale ambao hawajatoka kwanini hawajatoka kama ni kutoka kwa sheria? hujui unachoongea.Kutoka kwa Mwaifunga hakukutokana na hisani , ametoka kisheria , unataka tumbembeleze nani ?
Kwa uchaguzi upi ?