Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa na rafu nyingi sana uwanjani leo, ugomvi ukahamia kwenye mabenchi ya ufundiFutuhi
Niliona.Kulikuwa na rafu nyingi sana uwanjani leo, ugomvi ukahamia kwenye mabenchi ya ufundi
We bana weee..Ni baada ya kipindi cha kwanza kuisha kulizuka mzozo kwenye lango la kwenda vyumba vya mapumziko, baada ya varagati hilo alionekana moja ya makocha wa Singida Black Stars akiwa amelala chini.
View attachment 3139510
View attachment 3139511
Hilo halipoYanga akatwe point tatu,iwe fundisho😀
Karma is bitchNi baada ya kipindi cha kwanza kuisha kulizuka mzozo kwenye lango la kwenda vyumba vya mapumziko, baada ya varagati hilo alionekana moja ya makocha wa Singida Black Stars akiwa amelala chini.
View attachment 3139510
View attachment 3139511
Kwenye logo pia naona mdada anacheza kama sio rede basi netiboli. Kwa hiyo mpo vizuri hadi kwenye hiyo michezo.Gamondi piga kima hao. Kwani kwenye logo ya Yanga hawaoni mpiga vitasa. Yani sisi tupo vizuri kila idara
Tuna timu ya wakina dada. Wapo vizuri kwenye Netboli unaruhusiwa kujiunga kolo.Kwenye logo pia naona mdada anacheza kama sio rede basi netiboli. Kwa hiyo mpo vizuri hadi kwenye hiyo michezo.
Kuna MTU anakunywa supu pia🤣🤣Kwenye logo pia naona mdada anacheza kama sio rede basi netiboli. Kwa hiyo mpo vizuri hadi kwenye hiyo michezo.