Video: Binti wa Odinga ahusika kwenye maandamano

Video: Binti wa Odinga ahusika kwenye maandamano

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hii poa sasa, tunafaa kuona watoto wao wakihusika sio kuwatumia maskini Wakenya ilhali wanao wapo wanatazama kwenye runinga zao.
Haya Kalonzo, Mudavadi na Wetangula na wao waachie watoto wao waingie barabarani pia.

Kazi kwako bwana Chiloba, maandamano yote haya wanakusema wewe, kwamba ukiachia na kushuka basi vurugu zote hizi zinaisha. Haya twende!! NASA tibim..... hehehe hadi raha, inanikumbusha mbali sana hii shughuli, nilipokea kibano cha polisi miaka ile, mabomu ya machozi lakini pakachimbika tu kwa kwenda mbele hadi rais Moi akaishia kukubali yaishe.

 
Bahati yao ni Kenya.. Ingekuwa Tz alafu walete ukuda huo tunafyeka miguu, macho, mikono, na midomo, paap paaaaap wote kimyaaaaaaa!!! Hatutaki ujinga sisi, Demokrasia kwa Afrika bado sana, sbb ujinga ni mkubwa mno na ukiwaachia wajinga wafanye demokrasia of which hawajui mipaka ya demokrasia wala maana yake watamalizana na kuuana wenye kwa wenyewe.. So dawa ni kuwadhibiti prematurely.. Paaaaap wanaona moshi na vumbi mchana kunakuwa usiku ghafla machozi yanawajaa kiboko kikali kabisa za mbavu hadi pxmbx zinasinyaa utaona kimyaaaaaa.. Baada ya hapo Election inakuwa na AMANIIIIIII NA HESHIMA TELE... Nyambaf
 
Hii poa sasa, tunafaa kuona watoto wao wakihusika sio kuwatumia maskini Wakenya ilhali wanao wapo wanatazama kwenye runinga zao.
Haya Kalonzo, Mudavadi na Wetangula na wao waachie watoto wao waingie barabarani pia.

Kazi kwako bwana Chiloba, maandamano yote haya wanakusema wewe, kwamba ukiachia na kushuka basi vurugu zote hizi zinaisha. Haya twende!! NASA tibim..... hehehe hadi raha, inanikumbusha mbali sana hii shughuli, nilipokea kibano cha polisi miaka ile, mabomu ya machozi lakini pakachimbika tu kwa kwenda mbele hadi rais Moi akaishia kukubali yaishe.




1% real, 99% show!
 
Bahati yao ni Kenya.. Ingekuwa Tz alafu walete ukuda huo tunafyeka miguu, macho, mikono, na midomo, paap paaaaap wote kimyaaaaaaa!!! Hatutaki ujinga sisi, Demokrasia kwa Afrika bado sana, sbb ujinga ni mkubwa mno na ukiwaachia wajinga wafanye demokrasia of which hawajui mipaka ya demokrasia wala maana yake watamalizana na kuuana wenye kwa wenyewe.. So dawa ni kuwadhibiti prematurely.. Paaaaap wanaona moshi na vumbi mchana kunakuwa usiku ghafla machozi yanawajaa kiboko kikali kabisa za mbavu hadi pxmbx zinasinyaa utaona kimyaaaaaa.. Election inakuwa na AMANIIIIIII NA HESHIMA TELE... Nyambaf
Kwa kizazi cha kuanzia 80 hadi sasa tunanizamu za uwoga ila kuna mambo yasipo badilika hichi kizazi tunachokiacha sisi kitakuwa ni hatari kuliko tunavyofikiri!
 
Bahati yao ni Kenya.. Ingekuwa Tz alafu walete ukuda huo tunafyeka miguu, macho, mikono, na midomo, paap paaaaap wote kimyaaaaaaa!!! Hatutaki ujinga sisi, Demokrasia kwa Afrika bado sana, sbb ujinga ni mkubwa mno na ukiwaachia wajinga wafanye demokrasia of which hawajui mipaka ya demokrasia wala maana yake watamalizana na kuuana wenye kwa wenyewe.. So dawa ni kuwadhibiti prematurely.. Paaaaap wanaona moshi na vumbi mchana kunakuwa usiku ghafla machozi yanawajaa kiboko kikali kabisa za mbavu hadi pxmbx zinasinyaa utaona kimyaaaaaa.. Baada ya hapo Election inakuwa na AMANIIIIIII NA HESHIMA TELE... Nyambaf
Bora usingechangia unadhalilisha taifa letu maana itaonekana wote tunawaza kma wwe coz what's this?? Demokrasia ina mipaka ndio sasa tume ilivuruga uchaguzi wao NASA ambao ndio walishinda kesi wanataka mabadiliko ili makosa yasijirudie ila bado tu tume imegangamara sasa katiba yao inaruhusu maandamano ya amani ndio odinga anaitumia ssa kosa lake lipi?? Ulitaka ashiriki Hivo hivo afu aibiwe tena?? Get real unadhalilisha Taifa with such comments
 
Back
Top Bottom