Itakuwa ndiye gwajima huyoMbona povu
HahaaNitumie basi maana naona nyuzi zimekuwa nyingi sana mpaka nashindwa kuvumilia.
Hahaa yaani hata wewe ..wakunifanyia hivi " Una clip lakini unashindwa kunitumia !!? Kwa hiyo hilo pilau mnataka kulila peke yenu ??!!!
Mkuu naomba unitumie pm tafadhali
[/QUOTMkwe we sio mfuasi wake kweli, Gwajix anawambato waumini namna ile kweli?Photoshop at workKuna Video zinasambaa zinazodaiwa ni za Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima
Hakuna binadamu aliyekamilika. Watu wengi wanafikiria kuwa mtu akiwa mtumishi wa Mungu au akiwa na vyeo vyovyote vya utakatifu basi hufikiri mtu huyo hatendi dhambi kama binadamu wengine, lakini ukweli ni kwamba wengi wao huwa na madhambi ya kutisha zaidi pengine kuliko hata wapagani ambao hawamjui Mungu , vitabu vitakatifu vinatufundisha kuwa tusijaji tusije tukahukumiwa.
Hao Hao wanaojiita wachungaji na watumishi , wengi wao wanafanya dhambi za kutisha.
Ukiacha nguvu za Giza anazotumiwa kushiriki Mchungaji gwajima, Leo kakwaa skendo nzito ya kufanya mapenzi na kujitecord akiwa kitandani akifanya uzinzi na mwanamke asiyejulikana.
Kweli Mungu wa makonda anajibu kwa wakati, huyu baba alijua kumtukana na kumdhihaki makonda, Leo uchafu wake wote uko nje, sijui ataweka wapi sura yake .
Ikumbukwe juzi juzi tu walipatana na makonda na kukumbatiana, ama kweli dunia hadaa na walimwengu shujaaView attachment 1090460
πππππ hahahah ushawahi kuonja ile?Ni aibu,ila jamaa anakata mauno acha kabisa. Jamani wanaume mjifunze kwa Gwajima.
Hahaa huku tunapoelekea tujiandae kuona video clip ya jiwe ya kungonoka ikiwa ime vuja .... aahh hii video Kama tupac angelikuwa hai halafu ni raia wa tz hata yeye angeiomba aiseMkuu si uninifahamu mimi Hip Hop sana tena Hip Hop Ngumu siwezi kuwa na hiyo video wala sijaiona sema unanifurahisha unavyo force video hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani leo nimecheka mno, naomba siku yangu iishe salama tu.hii video isipokuwa video ya mwaka basi ni wivu tu, Sio kwa miuno ile ya kitakatifu,gwaride lile ni mguu upande mguu sawa, anti ni mrefu hakuwa kikwazo, mapepo yalikuwa yanakemewa na nyoka mkakamavu katika jina la utamuπ π
Hahah hapa lazma Gwajix atajiopolea team Tomaso!
Kama nakuona ulivyotamani ile miuno, vipi ushawahi kuonja lakini? Maana mwenzio alikuwa anaugulia utamu tuNi aibu,ila jamaa anakata mauno acha kabisa. Jamani wanaume mjifunze kwa Gwajima.
Haha weee acha tu ....nilikuwa najibana bana kufanya uzinzi lakini kama mpaka makasisi na mashekhe wanafanya hadi wana ji-record video clip. ...aise Acheni tu namimi nito.............[/QUOTE]Wenzio wakiumwa waumini watatoa sadaka we jipeleke kichwa kichwa,,, za kuambiwa.........Mkuu unanichekesha sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani kama ni kweli, itakuwa anachafuliwa, labda ile ya kifua wazi. Lakini tujifunze jambo moja, si vizuri kushiriki kumchafua mtumishi wa Mungu, tusisahau ana watu wengi waliomuamini Kristo kupitia yeye. Mimi ni Mkatoliki lakini natambua nafasi ya mtumishi yeyote wa Mungu hata kama si dhehebu langu. Tukumbuke habari za Nuhu kwenye mwanzo 9: 20-23 jinsi alivyolewa hadi kubakia uchi, mtoto wake wa kwanza alivyomuona akaenda kuwaambia wenzake na mmoja wao ndio akaenda kumfunika. Yule mtoto aliyeshindwa kumsitiri baba yake alilaaniwa! ( hapo kwa dunia ya sasa tungemuona huyo mzee mdhambi kwa kunywa pombe! lakini maandiko yanaonesha laana ilikokwenda). Usishiriki kumchafua mchungaji Gwajima maana haitokuongezea au kupunguza kitu. Heshimu utu wake.
Sindio type zenu za kiniga mnazopenda, kamwaga uno la hela yote adi mtoto anamumunya ulimi tu!πππHahahaaa kama kweli yule ni yeye ni wazi kwamba amejaaliwa yaani ni MashaAllah
Wenzio wakiumwa waumini watatoa sadaka we jipeleke kichwa kichwa,,, za kuambiwa.........[/QUOTE]Namimi nikiumwa jf si-mtanichangia?Haha weee acha tu ....nilikuwa najibana bana kufanya uzinzi lakini kama mpaka makasisi na mashekhe wanafanya hadi wana ji-record video clip. ...aise Acheni tu namimi nito.............
Haha weee acha tu ....nilikuwa najibana bana kufanya uzinzi lakini kama mpaka makasisi na mashekhe wanafanya hadi wana ji-record video clip. ...aise Acheni tu namimi nito.............
Kama kuna watu hawajazipata watakua wazembe sana