Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
huyo demu amelala kama gogo, hata kiuno hakizunguki
 
moja; ni kiongozi wa dini

mbili;ni mtu mzima sio kijana wa dot com

tatu;;ni mume wa mtu

nne;baba wa watoto/familia...

hili 'profile' sio la mtu wa 'kujirecord' wakati 'akichepuka'!

I stand with Gwajima on this...

Kama nakuelewa issue ni kurekodi na sio kuchepuka japo hii sio video ya kwanza ya watu wenye profile.

Genuinely fascinated.
 
moja; ni kiongozi wa dini
.
Hebu soma tena hapa chini uone kama hoja yako inabaki salama....

moja; ni kiongozi wa dini [anayefundisha kwa vitendo waumini wake namna ya kudumisha ndoa].

mbili;ni mtu mzima sio kijana wa dot com

tatu;;ni mume wa mtu

nne;baba wa watoto/familia...

hili 'profile' sio la mtu wa 'kujirecord' wakati 'akichepuka'!

I stand with Gwajima on this...
 

Mnhhh kwa hio wewe ni Psychiatrist tayari usha mdiagnose Gwajima ana matatizo ya Akili hahaaaa...mnhhh
 
SEEING IS BELIEVING. Chezea vyote lakini sio technology au Mungu. Au atakuwa pacha wake yule?

Angalia vitu bila kuwa biased,utafurahia maisha..my dear...uko sahihi usichezee technology,expert in technology can make things believable...na kama huangalii vitu kwa open mind lazima u fall kwenye mitego ya shetani,,, this is shetani at work! Nothing else!
 
Body language ya mke wa Gwajima inaonesha kabisa ndani ya nyumba kuna fukuto!
 
Acheni kumsingizia shetan ata yeye huwa hapendi bhana alaa kila kitu shetani mengine mnajitakia kabisa
 
It’s just matter of time,,yes,,wait,,,,Mungu atajihidhirisha ukuu wake,,,,,,soon!...kama huamini soon utaamini....na hii post naiweka kama ushahidi! Najua bwana atatenda !
Naomba iwe ni utani. Ni aibu mtu wa JF kuamini kwamba Gwajima atampeleka Mbinguni. Yaani bado kuna watu wanaamini kuna dalali wa kuwapeleka Mbinguni! Mbinguni njia ni nyeupe kwa kila mtu. Watu kama hawa mukiendelea kuwachekea na kusema amen, wataanza kuwalawiti kabla hamjafika Mbinguni.
 
Kwanini video za Amber Rutty na Mariam Biriani hazikuleta hoja ndefu kama hizi?

Yule ni binadamu kuwa baba, mchungaji au padre haiondoi ubinadamu wako wala uhalisia wa akili zako.

Usitumie nguvu kubwa kutaka kugeuza ukweli.


Hahaaa nani anatumia nguvu kubwa kutaka kupindisha ukweli??? Ili iweje?? I’m using my right to air what I believe...

Jifunze kuangalia mlilongo wa matukio ama profiling before arriving into conclusions...huyo mdada Rutty unayemsemea moja ni mdada wa dot com,mbili alikua anafanya hivyo vitu at a fee,Haya angalia Gwajima, na yeye alikua anajirecord kabla ya hii video au kujiuza online?
 
Sasa ile mishipa iliyokuwa imekutoka kutetea ile video kuwa siyo yeye imeenda wapi?

Nikipata mke mwenye akili nzito kama wewe nitalala hadi na mama yake.
 
Tunaopata taabu ni sisi tulio nje ya mamlaka ya Gwajima. Kuna watu walioko ndani hawajitambui. Anaweza akawalawiti mmoja kila baada ya wiki na bado watasema; Amen! Inabidi serikali itafute mbinu ya kuzuiya upuuzi kama huu usiendelee. Si umesikia anajieleza kama mwizi wa kuku na bado watu wanashangilia?
 
Body language ya mke wa Gwajima inaonesha kabisa ndani ya nyumba kuna fukuto!
Hao pimbi wanaoshangilia hapo hawajui kama hiyo ni team work,wote wapo kazini.Gwajima amemuuliza mwanamke wewe unaonaje? miradi yetu isimame kwa sababu ya kivideo ambacho kimeeditiwa huko?siyo mimi,kweli mama nanii siyo mimi akajiapiza apiza uwongo na kweli na kwa sababu anajua mwanamke hana analolijua kuhusu technology jamaa akamwachia mtihani aamue.

Ukichukulia mwanamke mwenyewe anaonekana njaa kali bila nguzo yake Gwajima mambo town hayataenda akaona akubali kukaa upande wa mumewe.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…