ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
I got a dick and u got a p....sy thats whyWhy and not u?
Wadada mnashindwa kuelewa bigger picture..anyway jf tuko watu wa namna mbalimbaliAlivyokua anamshika shika Zari mlikua mnamsifia Leo mwamponda!!
Walimwengu wanaafiki
Watu wanasema eti age yake...but..sidhani...halafu naona anaona sifa kubadilisha wanawake kama magari. hamuoni mwenzie kiba kaowa
tabia mbaya tu hakuna cha age wala niniWatu wanasema eti age yake...but..sidhani...
NATAMANI KUAMINI MAWAZO YAKO MKUUUkiachilia mbali ushamba wake kwenye ishu za mahusiano,
Kwenye naamini ametumika kuondoa michakato inayoendelea sasa ya maandamano ikiwa ni pamoja na kuizima kabisa ishu ya Nandy
HAHAHA ila amefanikiwa aiseeJamaa lina wivu sana Limeona Nandy na Alikiba wanatrend sana wiki hii, kaona na yeye aachie huu ujinga wake
ushamba ni kukosa hela mkuu nowdaysDiamondi ni mshamba sana,
bila shaka wameshauliana ili kuzima yale maandamanoNa huyu ndo rafiki na mshauri wa Rais Magufuli kuhusu mambo ya sanaa!
Basi ni limbukeniushamba ni kukosa hela mkuu nowdays
Nasikia patamu si kidogo. Ntaleta mrejesho kama ni kweli au wanamjaza sifa tu[emoji23][emoji23]
Usisahau kapicha ukiwa madale basiNasikia patamu si kidogo. Ntaleta mrejesho kama ni kweli au wanamjaza sifa tu[emoji23][emoji23]
well said mkuuKufika mbali atafika tu maana when it comes to getting his shit together and putting in work and creativity yupo serious. Entertaining himself and having fun ni sehemu ndogo ya maisha yake tu.
hahaha mkuu sizani kama diamond ana huruma kiasi hikiMie nahisi hii ni kiki ya kumuokoa Nandi na skendo ya guchupi.Hawa wamezoea kusemwa hawajali ilakale katoto hadi huruma.