Video: Diamond ajirekodi video akiwa na Hamisa pamoja na Mzungu anayesemekana ni mpenzi wake mpya

Zari ameshatoa yakeya moyoni, anashangaa mameneja kuruhusu hii clip to the public
 
Ameshangaa mameneja kuruhusu huu uchafu urushwe kwenye kadamnasi na kuwa mbwiga hata watoto wake wameanza kumsahau hajawaona muda sasa

Ni fedheha kurusha huu upuuzi kwa makusudi kabisa. Dayamaondi bado anashindana na watoto mitandaoni wakati yeye ni Baba na star wa kimataifa.
 
Diamond sasa Aonyesha Live jinsi gani Anavyoweza Kutumia Pesa Kubadili mawazo yeyote ya Mwanamke kichwani. Wale wanawake wanaosema Eti Wanataka True love pesa zinatafutwa Wote huwa wanabadili mawazo wakishaona Sura Ya Benjamin(dollar) mezani

Hii ni baada ya Diamond kuchanganya Mafile mawili mezani huku akijua Kuwa Ni Baba Wa Watoto watatu ambao baadae wakikua wataona ufuska wake wote Mtandaoni...


HAMISA MOBETO

Naye Hamisa Mobeto hajabaki Nyuma Kaamua Kuweka Akili Pembeni ya True love na Sasa Kaamia Kwenye Child support ... Hapa Akiomba pesa Za Child Support



What I Think:
1. Huyu ni msanii atafanya Liwalo lolote kutrend ili Asisahaulike(KIKI). So ndo maana Hata Mie nimeandika

2. Huyu ni Mwafrika Maana Yake amezaliwa kwenye Familia ya Kimasikini so anapopata Fedha ndoto zake zote za Kumpata Mwanamke anayemtaka Zinatimia

3. Hii ni Tabia ya Almost >75 Every African Man sema Wengine Ndo hivyo Hawajionyeshi
 
Kwa Mara ya kwanza nahisi kuna haja sasa ya serikali kufungia mitandao ya kijamii aina ya Instagram, Snapchat na badoo. Pia ustawi wa jamii imuangalie kwa jicho la tatu huyu diamond. Ni mzalilishaji sana kwa wanawake na mwisho nahisi kama ni trick to 26/04. Ingekua nchi za watu wenye elimu ,nadhani kwenye show zake angejaza akina mobeto na sepetu tu.he needs to be counselled unless anatumika ili kuharibu tension za marching hiyo tarehe
 
Yani serikali ifunge mitandao ya kijamii kwa sababu ya kenge kama hawa wanaolusha picha zao za utupu, hilo haliwezekani hii mitandao imesaidia maelfu ya watanzania kuinua vibiashara vyao kwa kuvitangaza na kuibua mambo mengi ya msingi leo unashauri ifugwe kisa kinge mmoma au wawili wameweka mapicha yao ya utupu..sikuungi mkono kwa hilo.
 
Ukiachilia mbali ushamba wake kwenye ishu za mahusiano,

Kwenye naamini ametumika kuondoa michakato inayoendelea sasa ya maandamano ikiwa ni pamoja na kuizima kabisa ishu ya Nandy
 
Kasema sababu yeye ni SUKARII[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko Zari sijui ana hali gani maskini....nakumbuka caption zake za kujitamba leo hii mond anampost hamissa? Itakua kaumia huko alipo!!!
 
A
Acha basi na wewe kutufanya wajinga,kwa kua kamshirikisha kwenye video yake ndio mwanamke wake?,aliyekutuma kwambie huku sio fb
Aahhhh....kumbe kamshirikisha kwenye video yake! Wabongo kwa umbeaaaa
 
Lengo nikututoa kwenye mapambano ya 26042018
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…