VIDEO: Dkt. Doroth Gwajima aupiga mwingi Wasafi FM leo, amfunika Kitenge

VIDEO: Dkt. Doroth Gwajima aupiga mwingi Wasafi FM leo, amfunika Kitenge

Huyu waziri ni 'mahoka'.

Kama vile dishi limeyumba.
 
Duh! Wanasiasa wa Tanzania aina hii pasua kichwa.
 
Mnaotukana huyo waziri kosa lake nini?au mnataka aishi kikauzu tu.
Kuwa waziri au Rais sio tiketi ya kushindwa kujamiiana (socialize)
 
huyu mama ataishi maisha marefu kwasababu haumizi akili, ana furaha muda wote. safi sana.
 
Back
Top Bottom