Kenya Mnatakiwa Mjifunze Siasa Bora Kwa Tanzania
Katiba ya Kenya kama ni nzuri mbona haiwazuii nyie kuuana kama juzi?Kenya nchi ya ovyo sanaNiliona Diamond akishukuru magufuli kwa kuweza kupea wanawake wengi mimba.
Katiba ya Tanzania ni kituko[emoji23][emoji23]
We inajitambua kwel ! Kwahiyo marekani hamna siasa za mabavu au haufatilii unaimba mapambio ya Tundu lile ? Sehem gani ktk ardhi ya TANZANIA polisi walimkandamiza Kwa goti mtanzania mpaka akakata roho ? Lakini Kwa kua una mahaba na Marekani yote huyaoni hayaKwahy unataka kulinganisha siasa za marekani na hizi siasa uchwara za mabavu za hapa Tz?
Pathetic!
Ungekua wewe ndio Rais ulikua na mipango ya kufanya nini ili uone kuna maendeleo au ulitaka kifanyike kitu gani ili uone kuna maendeleoNi bora yao imekaliwa na watu wawili na maendeleo yako kuliko huyu kiziwi na hakuna alilofanya
Bora yetu .kwa sababu sio mpya.
Ila ya KWENU ni mpya lakini
Na imeshindwa kuwaunganisha rais wenu na msaidizi wake..
Kuweni makini wasije wakarestiana in peace.
Katiba ya kwanza ya Tanzania ilitungwa mwaka gani?