Hujui kituKuna Sayansi gani uliyoiweka hapo? Na hizo mada za mashoga ambazo huwatunakutana huwa unafuata nini? Au wewe ndiye shoga? Maanamimi najulikana kwa umende. Au wewe ndiye yul ambaye tupu yake ya nyuma huwa unajipaka Detol?
Epic of Gilgamesh inagusia dhana ya kutafuta maisha ya milele. Gilgamesh, baada ya kifo cha rafiki yake Enkidu, anatafuta njia ya kuepuka kifo na kupata uzima wa milele, lakini mwishowe anakubaliana na ukweli kwamba kifo ni sehemu ya mzunguko wa maisha.Asante sana endelea kusoma kurasa zinazofuata halafu linganisha na maandiko ya kwenye dini yako iwe wewe ni mwislamu ama mkristo baada ya wiki turudi kujadili hapa🙏
Natumaini utakisoma choteEpic of Gilgamesh inagusia dhana ya kutafuta maisha ya milele. Gilgamesh, baada ya kifo cha rafiki yake Enkidu, anatafuta njia ya kuepuka kifo na kupata uzima wa milele, lakini mwishowe anakubaliana na ukweli kwamba kifo ni sehemu ya mzunguko wa maisha.
Katika Qur'an, kifo pia ni ukweli usiokwepeka, na hakuna mtu anayeweza kuishi milele duniani. Qur'an inasisitiza kuwa kila nafsi itakufa (Surah Al-Imran 3:185) na uzima wa milele uko katika Akhera (maisha ya baadaye). Qur'an inahimiza kuishi kwa njia ya haki na kumtumikia Mungu kwa kutii maagizo yake, badala ya kutafuta njia ya kuepuka kifo au kutafuta umilele duniani.
Quran imekuja kabla ya hii kihadithiNatumaini utakisoma chote
Unafurahisha sana na upo sawa kiimani lakini😄Quran imekuja kabla ya hii kihadithi
Sasa uhusiano wa maji kama unavyodai yalivyoelezewa yalivyokuja duniani na wanasayansi uko wapi katika hiyo hadithi yako ya Quran?Sayansi kuhusu Asili ya Maji:
1. Maji kutoka kwa Gasi na Maji ya Mwepesi (Water Vapor and Volatiles):
Uumbaji wa Maji: Wanasayansi wanaamini kuwa maji kwenye sayari ya Dunia yalikuwepo tangu hatua za awali za uumbaji wake. Hii ni kutokana na nadharia ya Big Bang na teori ya accretion (mchakato wa kukusanya nyota na sayari kupitia mvutano).
Wakati sayari ya Dunia ilikuwa ikiundwa, gesi na nyota zilikuwa zikizalisha molekuli za maji (H₂O), ambazo zilikuja kuwa sehemu ya mazingira ya Dunia. Maji yanaweza kuwa yalipatikana kutoka kwa mvuke wa maji (water vapor) ulioachiliwa kutoka kwa mali ghafi ya dunia (volatile compounds) katika hatua za mwanzo za uumbaji wa dunia.
2. Asteroidi na Meteorites:
Meteorites na asteroidi zinazohusika na uumbaji wa Dunia zinadhaniwa kuwa zimechukua sehemu ya maji yaliyopo kwenye dunia. Wanasayansi wanaamini kwamba baadhi ya maji kwenye dunia yaliletwa na meteorites zilizojaa icy planetesimals kutoka mikoa ya mbali ya mfumo wa jua.
Tafiti za kisasa zimeonyesha kuwa meteorites zilizobeba molekuli za maji ziliathiri sana uundaji wa maji kwenye sayari ya Dunia.
3. Maji na Viumbe Hai:
Maji pia yanahusishwa na maisha. Maji ni muhimu sana kwa kuendeleza maisha ya kila aina. Hata kabla ya kuonekana kwa maisha, maji yalikuwapo kama kiungo cha kimsingi kinachohusiana na mchakato wa kemia na fizikia inayohitajika kwa uundaji wa viumbe hai. Kwa hivyo, maji yanadhaniwa kuwa ni sehemu ya msingi katika mchakato wa kimazingira ulioleta uhai.
Uhusiano na Qur'an:
Katika Qur'an, Surah Al-Anbiya (21:30) inasema:
"Je, wale walio kufuru hawakujua kwamba mbingu na ardhi zilikuwa kitu kimoja, kisha tukazitenganisha? Na tukafanya kila kiumbe cha maji kuwa hai. Je, hawataki kuamini?"
SAYANSI IMEKUJA HIVI JUZI JUZI
Quran na wana Sayansi mwanzo imekuja kipi?Sasa uhusiano wa maji kama unavyodai yalivyoelezewa yalivyokuja duniani na wanasayansi uko wapi katika hiyo hadithi yako ya Quran?
Are you right upstairs ??
Hizi tablet ni za kitambo sana na quran kashusiwa mtume muhammad (S.a.w) kipindi cha A.DQuran imekuja kabla ya hii kihadithi
Ndio maana hujui kitu. Hii hadithi yako imezungumzia kuhusu binaadam alivyoumbwa?Unafurahisha sana na upo sawa kiimani lakini😄
Hujui kitu. Surah Al-Buruj (85:21-22):Hizi tablet ni za kitambo sana na quran kashusiwa mtume muhammad (S.a.w) kipindi cha A.D
"Bali ni Qur'an tukufu, katika kibamba kilichohifadhiwa."
Mwanasayansi wa kale zaidi duniani ni Imhotep wa misri ya kale sasa hapo linganishaQuran na wana Sayansi mwanzo imekuja kipi?
Unauliza badala usome😁Ndio maana hujui kitu. Hii hadithi yako imezungumzia kuhusu binaadam alivyoumbwa?
Surah Al-Buruj (85:21-22):Unafurahisha sana na upo sawa kiimani lakini😄
"Bali ni Qur'an tukufu, katika kibamba kilichohifadhiwa."
Mtume kazaliwa lini nambieHujui kitu. Surah Al-Buruj (85:21-22):
Aya hii inaonyesha kuwa Qur'an ilikuwa ikihifadhiwa katika al-Lawh al-Mahfuzh kabla ya kuumbwa kwa dunia.
Its C&P mimi Nilisoma Gilgamesh na Zile OBT zote (Old Babilonic Tablets) ni Kama Bible Imekopy kila Kitu kwenye Hayo maandikoAsante sana endelea kusoma kurasa zinazofuata halafu linganisha na maandiko ya kwenye dini yako iwe wewe ni mwislamu ama mkristo baada ya wiki turudi kujadili hapa🙏
Kwa imani upo sahihi mkuu kwa sababu Qur'an imejielezea hivyo.Surah Al-Buruj (85:21-22):
Aya hii inaonyesha kuwa Qur'an ilikuwa ikihifadhiwa katika al-Lawh al-Mahfuzh kabla ya kuumbwa kwa dunia.
Majumba ya Qawm-e-Saba (Watu wa Sheba): Watu wa Sheba (Saba) walijivunia utajiri wao na majumba yao yaliyojengwa kwa ufanisi mkubwa. Qur'an inataja jinsi malkia wa Sheba (bilqis) alivyoshuhudia majumba hayo ya kifahari na jinsi alivyovutiwa na hekima ya Prophet Suleiman. Suleiman alijulikana kwa ujenzi wa majumba na majengo ya kifahari na alitumia ujuzi wake katika uhandisi.Mwanasayansi wa kale zaidi duniani ni Imhotep wa misri ya kale sasa hapo linganisha
Acha kuuliza maswali ya kiboya, Muhamad na Quran yake walikuta binadamu wanatumia karatasi, wanavaa nguo, wanasafiri baharini, wamejenga pyramids. Hippocrates baba wa utabibu alikuwepo karne nyingi hata kabla ya Quran ya Muhamad wako.Quran na wana Sayansi mwanzo imekuja kipi?
Adam (A.S)Mtume kazaliwa lini nambie
Yote hayo yamezungumzwa katika quranAcha kuuliza maswali ya kiboya, Muhamad na Quran yake walikuta binadamu wanatumia karatasi, wanavaa nguo, wanasafiri baharini, wamejenga pyramids. Hippocrates baba wa utabibu alikuwepo karne nyingi hata kabla ya Quran ya Muhamad wako.