Video: Goli 7 za Simba zilizookolewa na "mganga" wa Yanga

Hapa hakuna cha uganga wala nini, tuseme tu wachezaji wa simba hasa wamaliziaji hawakuwa vizuri na walikuwa na pressure kubwa kutoka na kujiamini kupita kiasi.
Walipokuwa wanapata nafasi walifunga kwa mawazo kabla hata hawajaweka mpora nyavuni.
Kwa kosa kosa zao ni za kawaida tofauti na watu wanavyozichukulia
 
Hasa ukizingatia walikuwa chini ya ulinzi was vijana wadogo under 20 yrs Paul Godfrey na Ninja, wacha mizee yao ikooe damu aisee, hadi mmoja kageuza uwanja wa ngumi, kampiga waziwazi Gadiel Michael, haki ya Mungu nilicheka sana Jana.
Hahahaaaa et mganga semen tu iv wale wazee akina okwi na kagere hawana uwezo Wa kumfunga yanga
 
Simba walijiamini kupita kiasi.

Kusingizia mganga ni kujitetea tu kusiko na mantiki.
 
Hasa ukizingatia walikuwa chini ya ulinzi was vijana wadogo under 20 yrs Paul Godfrey na Ninja, wacha mizee yao ikooe damu aisee, hadi mmoja kageuza uwanja wa ngumi, kampiga waziwazi Gadiel Michael, haki ya Mungu nilicheka sana Jana.
kwanini alimpiga na kwanini hakupata kadi ?
 

uvivu wa fikra ni mbaya. Hii ni sayansi ya mpira. Golikipa hata asipodaka au kupangua ila akijipanga vizuri anampa wakati mgumu mfungaji nakuona goli limezibwa nafasi mpaka anapiga pembeni au kupaisha juu na hapo golikipa amemzidi maarifa mfungaji,mchezo wa mpira ni kama chess. Kumbuka mechi ya liverpool na ac milan dudek alivyofanya kwenye penalti 2005 champions league final
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…