The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Kivuko MV. MWANZA kinachotoa huduma kati ya Kigongo Wilayani Misungwi na Busisi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza kikikatiza katikati ya magugu maji wakati kikiwasili kwa ajili ya kupaki na kushusha abiria upande wa maegesho ya Kigongo.
Uwepo wa magugu hayo katika Ziwa Victoria eneo la upande wa Kigongo umekuwa ukisababisha adha kubwa kwa uendeshaji wa vivuko vya TEMESA vinavyotoa huduma katika eneo hilo.
Magugu hayo kwa nyakati tofauti yamekuwa yakivutwa na kuingia katika mashine za mbadilishano joto. (heat exchanger)
Magugu maji hayo yanaenda kuziba sehemu hiyo na kupelekea joto la injini kutobadilika na kupanda mpaka injini pamoja na jenereta za kivuko kuzima.
Uwepo wa magugu hayo katika Ziwa Victoria eneo la upande wa Kigongo umekuwa ukisababisha adha kubwa kwa uendeshaji wa vivuko vya TEMESA vinavyotoa huduma katika eneo hilo.
Magugu hayo kwa nyakati tofauti yamekuwa yakivutwa na kuingia katika mashine za mbadilishano joto. (heat exchanger)
Magugu maji hayo yanaenda kuziba sehemu hiyo na kupelekea joto la injini kutobadilika na kupanda mpaka injini pamoja na jenereta za kivuko kuzima.