Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 314
Hiki ndicho kinachoendelea huko Mathare, Barabara ya Juja Rd muda huu.
Ikumbukwe Polisi wamefanikiwa kuwazuia waandamanaji kuingia kati kati ja Jiji lakini Hali ni tete katika maeneo mengi yaliyoko takriban dakika 25 - 30 kutoka kati kati ya Jiji.
Aidha vyombo vingi vya habari vimeonekana kutorusha mubashara maandamano ya leo. Haijabainika wazi iwapo ni onyo kutoka kwa Serikali, hatahivyo Muungano wa Azimio kupitia akaunti yake ya Facebook waliyoipa jina Azimio Tv inarusha mubashara msafara wa Odinga.
Mpaka kufikia sasa Kiongozi huyo wa Upinzani hajapata fursa ya kuhutubia wafuasi wake.
Ikumbukwe Polisi wamefanikiwa kuwazuia waandamanaji kuingia kati kati ja Jiji lakini Hali ni tete katika maeneo mengi yaliyoko takriban dakika 25 - 30 kutoka kati kati ya Jiji.
Aidha vyombo vingi vya habari vimeonekana kutorusha mubashara maandamano ya leo. Haijabainika wazi iwapo ni onyo kutoka kwa Serikali, hatahivyo Muungano wa Azimio kupitia akaunti yake ya Facebook waliyoipa jina Azimio Tv inarusha mubashara msafara wa Odinga.
Mpaka kufikia sasa Kiongozi huyo wa Upinzani hajapata fursa ya kuhutubia wafuasi wake.