Video: Hawa hapa Watanzania na elimu yao kuhusu Kenya, kila siku wanatubishia humu

Hiyo SADC ndio mpo hoi maana hata lugha ya kuwasiliana nao ni majanga, nafuu Kenya mnaelewana na sisi kwa Kiswahili. Huwa mnazamia South kinyemela na kuhangaika sana huko.
Yaani ktk dunia ya leo hii unawaza mambo ya lugha za kuwasiliana...??
 
Tanzanians they don't care about kenya# they only care about their country and SADCC countries
Ona huo mtaa wa makazi duni maskini na wajinga ni wengi pale .Charity begins at home go and care about improving those slums before you think of SADC countries sababu SADC countries hawamo kiwango yenu ya umaskini hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…