VIDEO: Hayati Magufuli alilisema hili la upungufu wa maji bwawa la Mtera linalotokea kwa sasa

Huyu jamaa aliingia mwenye Urais akiwa anajua kila kona ya upigaji, ndomaana alikinzana na wengi sana.Kama alichokisema kisema hapa mwenye video ni uongo na propaganda...
Kweli tupu inamaana JPM aliwezaje kuzuia mabwawa kukauka? Halafu anakufa yanaamza kukauka? Wakati wa JK ndo ulikuwa wimbo,mvua inyeshe au isinyeshe shida ileile.

January ni mtu wa hovyo Sana,ajabu eti kanataka kuwa rais.
 
Utampendaje mwanamme mwenzako wewe? Kuna mambo aliyofanya nayakubali na yapo humu nilishayasema tangia yupo hai ,tatizo lenu nyinyi mnamchukulia JPM alikuwa anafanya mambo mazuri tu...
Fedha aliyokusanya iko wapi irudi serikalini,kama ambavyo yeye aliwanyanganya mafisadi na kuirudisha serikalini?
 
Kweli tupu inamaana JPM aliwezaje kuzuia mabwawa kukauka?Halafu anakufa yanaamza kukauka? Wakati wa JK ndo ulikuwa wimbo,mvua inyeshe au isinyeshe shida ileile.

January ni mtu wa hovyo Sana,ajabu eti kanataka kuwa rais.
Hahaha ni wajinga tu ndo watakao danganywa kizembe hivyo.

JPM kafariki Kalemani akiwa waziri wa nishati na hakukuwa na shida mpaka pale Kalemani alivyotolewa tu, inamaana hayo mabwawa yamekauka ghafla alipoingia Makamba?😂

Hizo story za kukauka mabwawa wanatumiw nguvu kubwa sana kuzi-push lakin kwa akili ndogo tu utagundua ni mbaga za upigaji tu. Ile 2016 mvua ziligoma na kukawa na ukame zaidi hâta ya huu lakin swala la umeme hakukuwa hivi.
 
Kama anachokisema hapa ni kweli, wabongo sisi ni bongo mbovu..unamkuta afande anatumia lita kumi za mafuta kufukuzia buku tano. Ndio hayo ya kufubgulia maji kwenye mabwawa.
 
Kama anachokisema hapa ni kweli, wabongo sisi ni bongo mbovu..unamkuta afande anatumia lita kumi za mafuta kufukuzia buku tano. Ndio hayo ya kufubgulia maji kwenye mabwawa.
Miradi ya wakubwa hiyo, Makamba katumwa tu.
 
Wapigaji wanavisingizio vingi mno.
Hatu mvua ikinyesha wakubwa watadai ukuta umebomoka maji yamepungua.

2016 kweli! Mbona hatukusikia kisingizio hiki?
 
Prof Assard mwenyewe sijawah kumsikia akisema Mazuri ya Magufuli zaidi anamponda tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo makamba kapelekwa kupiga, ndiyo maana kaingiatu umeme ukaanza kuzingua nakaanza kutoa visababu ili watengeneza solutions ambazo zitakuwa na faida kwao.
 
We need proof please!,not bla bla

Proof moja wapo ni JAMBAZI sabaya hii tayari mahakama imeshathibitsha.

BASHITE
MAYANGA

Subiri kesi zao zikifunguliwe ila ushahidi wa awali walikuwa wapigaji kwenye miradi waliyopewa na DAB kupora majengo,viwanja na magari ya wafanyabiashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…