Kweli tupu inamaana JPM aliwezaje kuzuia mabwawa kukauka? Halafu anakufa yanaamza kukauka? Wakati wa JK ndo ulikuwa wimbo,mvua inyeshe au isinyeshe shida ileile.Huyu jamaa aliingia mwenye Urais akiwa anajua kila kona ya upigaji, ndomaana alikinzana na wengi sana.Kama alichokisema kisema hapa mwenye video ni uongo na propaganda...
Fedha aliyokusanya iko wapi irudi serikalini,kama ambavyo yeye aliwanyanganya mafisadi na kuirudisha serikalini?Utampendaje mwanamme mwenzako wewe? Kuna mambo aliyofanya nayakubali na yapo humu nilishayasema tangia yupo hai ,tatizo lenu nyinyi mnamchukulia JPM alikuwa anafanya mambo mazuri tu...
Hahaha ni wajinga tu ndo watakao danganywa kizembe hivyo.Kweli tupu inamaana JPM aliwezaje kuzuia mabwawa kukauka?Halafu anakufa yanaamza kukauka? Wakati wa JK ndo ulikuwa wimbo,mvua inyeshe au isinyeshe shida ileile.
January ni mtu wa hovyo Sana,ajabu eti kanataka kuwa rais.
Miradi ya wakubwa hiyo, Makamba katumwa tu.Kama anachokisema hapa ni kweli, wabongo sisi ni bongo mbovu..unamkuta afande anatumia lita kumi za mafuta kufukuzia buku tano. Ndio hayo ya kufubgulia maji kwenye mabwawa.
Wapigaji wanavisingizio vingi mno.Hahaha ni wajinga tu ndo watakao danganywa kizembe hivyo.
JPM kafariki Kalemani akiwa waziri wa nishati na hakukuwa na shida mpaka pale Kalemani alivyotolewa tu, inamaana hayo mabwawa yamekauka ghafla alipoingia Makamba?😂
Hizo story za kukauka mabwawa wanatumiw nguvu kubwa sana kuzi-push lakin kwa akili ndogo tu utagundua ni mbaga za upigaji tu. Ile 2016 mvua ziligoma na kukawa na ukame zaidi hâta ya huu lakin swala la umeme hakukuwa hivi.
Prof Assard mwenyewe sijawah kumsikia akisema Mazuri ya Magufuli zaidi anamponda tu!Huu ndio ujinga wa tz wengi na jamaa alishalijua hilo akawa ana mix maendeleo na ushenz
Ukitaka kujua jamaa alikuwa mpigaji mtafute prof assad akusimulie jamaa kaupiga mwing kuliko wote
Ata uyu mama hivyo hivyo tu kapandisha makato ya simu afu kesho itasikia rais katoa bik 72 kusaidia taasis za kiraia afu kesho anaanzisha dili
Atasemaje mazuri ilhali alinyang'anywa ulaji?Prof Assard mwenyewe sijawah kumsikia akisema Mazuri ya Magufuli zaidi anamponda tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Professor MakobaziProf Assard mwenyewe sijawah kumsikia akisema Mazuri ya Magufuli zaidi anamponda tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo wazee wa Tanga waliokuwa wanataka 30m za kuondoa uchawi ili barabara ipite🤣🤣Uharo mtupu,,arudi kwa sangoma tena
Ila sasahivi umemulewa mkuu?I'm sorry magufuli. Mimi ni mmoja wapo niliyechelewa kukuelewa
R.I.P
Usishangae, wanawake ndo walivyo. Ukimwambia amependeza basi umemaliza kila kitu.Kinachonishangaza mama anatafuta kupendwa
YahIla sasahivi umemulewa mkuu?
We need proof please!,not bla bla
We need proof please!,not bla bla
C anamjua !! We na assad unafikir anamjua mshikajProf Assard mwenyewe sijawah kumsikia akisema Mazuri ya Magufuli zaidi anamponda tu!
Sent using Jamii Forums mobile app