Ibrahim augustine JF-Expert Member Joined Nov 28, 2017 Posts 428 Reaction score 576 May 4, 2018 #1 Infact huyu dogo anajitahidi sana kupambana wanao mchikia na kujifanya team kiba Hawana lolote Mimi nawapenda wote
Infact huyu dogo anajitahidi sana kupambana wanao mchikia na kujifanya team kiba Hawana lolote Mimi nawapenda wote
macho_mdiliko Platinum Member Joined Mar 10, 2008 Posts 25,191 Reaction score 48,765 May 4, 2018 #2 Ibrahim augustine said: Infact huyu dogo anajitahidi sana kupambana wanao mchikia na kujifanya team kiba Hawana lolote Mimi nawapenda wote Click to expand... Ushamba wako ndiyo unakufanya useme unayosema. Umewahi kusafiri nje ya Bongo? Jibu ni bado ndiyo maana unashangaa hata wahudumu wa ndege anapopokea abiria wakati wa boarding
Ibrahim augustine said: Infact huyu dogo anajitahidi sana kupambana wanao mchikia na kujifanya team kiba Hawana lolote Mimi nawapenda wote Click to expand... Ushamba wako ndiyo unakufanya useme unayosema. Umewahi kusafiri nje ya Bongo? Jibu ni bado ndiyo maana unashangaa hata wahudumu wa ndege anapopokea abiria wakati wa boarding
Madimba jr JF-Expert Member Joined Aug 12, 2017 Posts 1,577 Reaction score 3,146 May 4, 2018 #3 Ibrahim augustine said: Infact huyu dogo anajitahidi sana kupambana wanao mchikia na kujifanya team kiba Hawana lolote Mimi nawapenda wote Click to expand... Naona Unapromoti channel yako ya youtube au siyo...😀😀 Mods wakikuacha sijui...
Ibrahim augustine said: Infact huyu dogo anajitahidi sana kupambana wanao mchikia na kujifanya team kiba Hawana lolote Mimi nawapenda wote Click to expand... Naona Unapromoti channel yako ya youtube au siyo...😀😀 Mods wakikuacha sijui...
Ettore Bugatti JF-Expert Member Joined Aug 28, 2017 Posts 4,123 Reaction score 8,242 May 4, 2018 #4 Mods washafanya yao. Kauze vitumbua mkuu