Hawa ndiyo "vijana wa kazi"wa Mwendazake Magufuli...
Waliitumikia LEO kwa kuvunja sheria na maadili ya Utumishi kwa kunyanyasa wanaowaongoza (wananchi) kwa sababu wana madaraka na kusahau kabisa kuwa kuna KESHO...
Walitegemea KULINDWA NA MTU badala ya matendo yao ya HAKI..
Katika video hii (kwa hisani ya LEO TV & Malisa GJ) ni mkusanyiko wa matukio mabaya na maovu aliyoyatenda huyu aliyekuwa DC wa HAI, Ole Sabaya...
Yote haya aliyafanya kwa kutumia vibaya madaraka (abuse of power) yake ya u - DC kufanya ujambazi wa kidola kuiba na kutesa na kuumiza mahasimu wa kisiasa wa CCM na hasa Hayati Rais Magufuli huku akitamba kuwa ameagizwa na huyo aliyekuwa Rais...
Swali: Kama haya ni kweli, huyu mtu atawezaje kuiepuka jela..? Funzo kwa viongozi mliopo sasa. Tumieni mamlaka zenu vizuri. Don't abuse your power and authority. Kumbukeni CHEO NI DHAMANA TU, sio chako...
Hayati DC Sabaya anasema amepewa, "Special mission"
Hii special mission alipewa na nani?
Bila na shaka na Mwendazake John Pombe Magufuli...
Hivi inawezekana kweli kuwa, hawa Marais wa Tanzania huwatumia baadhi ya maDC na maRC kufanya ujambazi wa kidola kupora fedha za raia kinyume cha sheria?
Kama ndivyo, basi it was too much and unacceptable...!!
Hawa ndiyo "vijana wa kazi"wa Mwendazake Magufuli...
Waliitumikia LEO kwa kuvunja sheria na maadili ya Utumishi kwa kunyanyasa wanaowaongoza (wananchi) kwa sababu wana madaraka na kusahau kabisa kuwa kuna KESHO...
Walitegemea KULINDWA NA MTU badala ya matendo yao ya HAKI..
Katika video hii (kwa hisani ya LEO TV & Malisa GJ) ni mkusanyiko wa matukio mabaya na maovu aliyoyatenda huyu aliyekuwa DC wa HAI, Ole Sabaya...
Yote haya aliyafanya kwa kutumia vibaya madaraka (abuse of power) yake ya u - DC kufanya ujambazi wa kidola kuiba na kutesa na kuumiza mahasimu wa kisiasa wa CCM na hasa Hayati Rais Magufuli huku akitamba kuwa ameagizwa na huyo aliyekuwa Rais...
Swali: Kama haya ni kweli, huyu mtu atawezaje kuiepuka jela..? Funzo kwa viongozi mliopo sasa. Tumieni mamlaka zenu vizuri. Don't abuse your power and authority. Kumbukeni CHEO NI DHAMANA TU, sio chako... View attachment 1784988
Hawa ndiyo "vijana wa kazi"wa Mwendazake Magufuli...
Waliitumikia LEO kwa kuvunja sheria na maadili ya Utumishi kwa kunyanyasa wanaowaongoza (wananchi) kwa sababu wana madaraka na kusahau kabisa kuwa kuna KESHO...
Walitegemea KULINDWA NA MTU badala ya matendo yao ya HAKI..
Katika video hii (kwa hisani ya LEO TV & Malisa GJ) ni mkusanyiko wa matukio mabaya na maovu aliyoyatenda huyu aliyekuwa DC wa HAI, Ole Sabaya...
Yote haya aliyafanya kwa kutumia vibaya madaraka (abuse of power) yake ya u - DC kufanya ujambazi wa kidola kuiba na kutesa na kuumiza mahasimu wa kisiasa wa CCM na hasa Hayati Rais Magufuli huku akitamba kuwa ameagizwa na huyo aliyekuwa Rais...
Swali: Kama haya ni kweli, huyu mtu atawezaje kuiepuka jela..? Funzo kwa viongozi mliopo sasa. Tumieni mamlaka zenu vizuri. Don't abuse your power and authority. Kumbukeni CHEO NI DHAMANA TU, sio chako... View attachment 1784988
Mtu mwenye akili timamu hawezi kufurahi kwa kusimamishwa kazi Sabaya..
Tatizo siyo Sabaya, tatizo ni mfumo mbovu kabisa wa namna viongozi kuanzia ngazi ya kijiji hadi taifa (mawaziri) wanavyopatikana..teuzi nyingi za viongozi zinapata watu ambao si viongozi!
Mnafurahi Sabaya kukaa pembeni, msishangae mkijaletewa kiongozi mbaya zaidi ya Sabaya..subirini mtaona!
Mtu mwenye akili timamu hawezi kufurahi kwa kusimamishwa kazi Sabaya..
Tatizo siyo Sabaya, tatizo ni mfumo mbovu kabisa wa namna viongozi kuanzia ngazi ya kijiji hadi taifa (mawaziri) wanavyopatikana..teuzi nyingi za viongozi zinapata watu ambao si viongozi!
Mnafurahi Sabaya kukaa pembeni, msishangae mkijaletewa kiongozi mbaya zaidi ya Sabaya..subirini mtaona!
Sabaya hana tofauti na jambazi , sasa alimvamia Nandi alitaka amtie. Mwendazake na vibaraka wenzake ameumiza sana watu, walidhani mwendazake ataishi milele