Video hizi zinafikirisha sana! Hivi ni kwanini Egypt na nchi nyingine 57 za Kiarabu hazitaki kuchukua wakimbizi kutoka Palestina?

Video hizi zinafikirisha sana! Hivi ni kwanini Egypt na nchi nyingine 57 za Kiarabu hazitaki kuchukua wakimbizi kutoka Palestina?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kuna video za wahamiaji na vijana kutoka Palestina nimekutana nazo mtandaoni leo zimenipa maswali sana kuhusu hatma ya mgogoro huo unaendelea huko Middle East.

Kuna umbali wa takriban Km 12.5 kutoka Gaza mpaka kufika Egypt. Egypt na Palestina ni nchi zilizo karibu sana ni kama Kenya na Tanzania. Lakini kwanini Egypt haichukui wakimbizi kutoka Gaza na Palestina?

Kama mtakavyoona kwenye video, Egypt imejenga ukuta mkubwa sana wenye nyaya za umeme ambazo zinazuia wakimbizi kutoka Palestina kuingia kwenye nchi hiyo. Swali ni kwanini?

Na hiyo sio kwa Egypt tu, hata nchi nyingi za Kiarabu hazichukui refugees kutoka Palestina.

Kwanini hawawataki hawa Wapalestina. Wana shinda gani?







 
Wakiondoka unataka nyie mchukue nchi , pale ni kwao.
 
Wakuu,

Kuna video za wahamiaji na vijana kutoka Palestina nimekutana nazo mtandaoni leo zimenipa maswali sana kuhusu hatma ya mgogoro huo unaendelea huko Middle East.

Kuna umbali wa takriban Km 12.5 kutoka Gaza mpaka kufika Egypt. Egypt na Palestina ni nchi zilizo karibu sana ni kama Kenya na Tanzania. Lakini kwanini Egypt haichukui wakimbizi kutoka Gaza na Palestina?

Kama mtakavyoona kwenye video, Egypt imejenga ukuta mkubwa sana wenye nyaya za umeme ambazo zinazuia wakimbizi kutoka Palestina kuingia kwenye nchi hiyo. Swali ni kwanini?

Na hiyo sio kwa Egypt tu, hata nchi nyingi za Kiarabu hazichukui refugees kutoka Palestina.

Kwanini hawawataki hawa Wapalestina. Wana shinda gani?

n
Acha uwendawazimu. Watu wamegundua ujanja wa Israeli kuwaondoa wapalestina kwenye maeneo yao. Kuna wapalestina kibao wapo nje kama wakambizi Israel imewazuia kurudi nvhini mwao
 
n
Acha uwendawazimu. Watu wamegundua ujanja wa Israeli kuwaondoa wapalestina kwenye maeneo yao. Kuna wapalestina kibao wapo nje kama wakambizi Israel imewazuia kurudi nvhini mwao
Kwahiyoo wanajengq ukuta badala ya kuwapa Hamas wabakie kupigania ardhi Yao ?
 
Wakuu,

Kuna video za wahamiaji na vijana kutoka Palestina nimekutana nazo mtandaoni leo zimenipa maswali sana kuhusu hatma ya mgogoro huo unaendelea huko Middle East.

Kuna umbali wa takriban Km 12.5 kutoka Gaza mpaka kufika Egypt. Egypt na Palestina ni nchi zilizo karibu sana ni kama Kenya na Tanzania. Lakini kwanini Egypt haichukui wakimbizi kutoka Gaza na Palestina?

Kama mtakavyoona kwenye video, Egypt imejenga ukuta mkubwa sana wenye nyaya za umeme ambazo zinazuia wakimbizi kutoka Palestina kuingia kwenye nchi hiyo. Swali ni kwanini?

Na hiyo sio kwa Egypt tu, hata nchi nyingi za Kiarabu hazichukui refugees kutoka Palestina.

Kwanini hawawataki hawa Wapalestina. Wana shinda gani?

Hilo ndilo wanalolitaka mazayuni, wajichukulie. Vipande walivyobakiza kiubwete.
 
Wakuu,

Kuna video za wahamiaji na vijana kutoka Palestina nimekutana nazo mtandaoni leo zimenipa maswali sana kuhusu hatma ya mgogoro huo unaendelea huko Middle East.

Kuna umbali wa takriban Km 12.5 kutoka Gaza mpaka kufika Egypt. Egypt na Palestina ni nchi zilizo karibu sana ni kama Kenya na Tanzania. Lakini kwanini Egypt haichukui wakimbizi kutoka Gaza na Palestina?

Kama mtakavyoona kwenye video, Egypt imejenga ukuta mkubwa sana wenye nyaya za umeme ambazo zinazuia wakimbizi kutoka Palestina kuingia kwenye nchi hiyo. Swali ni kwanini?

Na hiyo sio kwa Egypt tu, hata nchi nyingi za Kiarabu hazichukui refugees kutoka Palestina.

Kwanini hawawataki hawa Wapalestina. Wana shinda gani?

Waarabu hawanaga Jambo dogo. Wao ukiwakaribisha umeula wa chuya. Ni kama wasomali
 
Bwana mkubwa Mindyou nataka nikwambie kitu ukiweke akilini.
Israel wanampango wa kuwaondosha wapaelstina katika ardhi yao ili waichukue hiyo ardhii na kuweka makazi yao kama walivofanya maeneo mengine waliyopora ya wapelestina na ndo maana wakati huu wa vita wamekua wakiwafukuza GAZA mara kwa mara.Kwa akili yao walidhani EGYPT watawaruhusu wapelstina waelekee eneo la Sinai lakini EGYPT wamekataa ! Kwa sababu wanajua janja ya Isarel kuwafukuza wapalestina moja kwa moja kutoka katika ardhi yao ! Waarabu wanawahurumia sana wapelestina lakini kwa vile wanajua janja ya Israel nao wameamua kukaza kuhakikisha wapelestina wanapata nchi yao na huu ndo wakati muafaka na kama umesoma katika vyombo vya habari ni kuwa kuna nchi ytayari zimeshaanza kulitambua taifa la palestina ikiwemo Spain , Norway ,NK.
Israel hawataki kusikia kabisa taifa la wapalestina ! Sa hiyo ndio sababu kubwa unaona kama vile nchi za kiarabu hazitaki au hazina huruma kwa wapelestina wapelestina .
 
Bwana mkubwa Mindyou nataka nikwambie kitu ukiweke akilini.
Israel wanampango wa kuwaondosha wapaelstina katika ardhi yao ili waichukue hiyo ardhii na kuweka makazi yao kama walivofanya maeneo mengine waliyopora ya wapelestina na ndo maana wakati huu wa vita wamekua wakiwafukuza GAZA mara kwa mara.Kwa akili yao walidhani EGYPT watawaruhusu wapelstina waelekee eneo la Sinai lakini EGYPT wamekataa ! Kwa sababu wanajua janja ya Isarel kuwafukuza wapalestina moja kwa moja kutoka katika ardhi yao ! Waarabu wanawahurumia sana wapelestina lakini kwa vile wanajua janja ya Israel nao wameamua kukaza kuhakikisha wapelestina wanapata nchi yao na huu ndo wakati muafaka na kama umesoma katika vyombo vya habari ni kuwa kuna nchi ytayari zimeshaanza kulitambua taifa la palestina ikiwemo Spain , Norway ,NK.
Israel hawataki kusikia kabisa taifa la wapalestina ! Sa hiyo ndio sababu kubwa unaona kama vile nchi za kiarabu hazitaki au hazina huruma kwa wapelestina wapelestina .
Wakimbizi wa Yemen na Syria mbona hawakimbilii nchi za kiarabu? Au nao bado Israel wanataka Ardhi ya Yemen na Syria?
 
Bwana mkubwa Mindyou nataka nikwambie kitu ukiweke akilini.
Israel wanampango wa kuwaondosha wapaelstina katika ardhi yao ili waichukue hiyo ardhii na kuweka makazi yao kama walivofanya maeneo mengine waliyopora ya wapelestina na ndo maana wakati huu wa vita wamekua wakiwafukuza GAZA mara kwa mara.Kwa akili yao walidhani EGYPT watawaruhusu wapelstina waelekee eneo la Sinai lakini EGYPT wamekataa ! Kwa sababu wanajua janja ya Isarel kuwafukuza wapalestina moja kwa moja kutoka katika ardhi yao ! Waarabu wanawahurumia sana wapelestina lakini kwa vile wanajua janja ya Israel nao wameamua kukaza kuhakikisha wapelestina wanapata nchi yao na huu ndo wakati muafaka na kama umesoma katika vyombo vya habari ni kuwa kuna nchi ytayari zimeshaanza kulitambua taifa la palestina ikiwemo Spain , Norway ,NK.
Israel hawataki kusikia kabisa taifa la wapalestina ! Sa hiyo ndio sababu kubwa unaona kama vile nchi za kiarabu hazitaki au hazina huruma kwa wapelestina wapelestina .
Acha uongo hao ni magaidi Egypt hawataki huo ujinga
 
Back
Top Bottom