Kuna video za wahamiaji na vijana kutoka Palestina nimekutana nazo mtandaoni leo zimenipa maswali sana kuhusu hatma ya mgogoro huo unaendelea huko Middle East.
Kuna umbali wa takriban Km 12.5 kutoka Gaza mpaka kufika Egypt. Egypt na Palestina ni nchi zilizo karibu sana ni kama Kenya na Tanzania. Lakini kwanini Egypt haichukui wakimbizi kutoka Gaza na Palestina?
Kama mtakavyoona kwenye video, Egypt imejenga ukuta mkubwa sana wenye nyaya za umeme ambazo zinazuia wakimbizi kutoka Palestina kuingia kwenye nchi hiyo. Swali ni kwanini?
Na hiyo sio kwa Egypt tu, hata nchi nyingi za Kiarabu hazichukui refugees kutoka Palestina.
Kwanini hawawataki hawa Wapalestina. Wana shinda gani?
Kuna video za wahamiaji na vijana kutoka Palestina nimekutana nazo mtandaoni leo zimenipa maswali sana kuhusu hatma ya mgogoro huo unaendelea huko Middle East.
Kuna umbali wa takriban Km 12.5 kutoka Gaza mpaka kufika Egypt. Egypt na Palestina ni nchi zilizo karibu sana ni kama Kenya na Tanzania. Lakini kwanini Egypt haichukui wakimbizi kutoka Gaza na Palestina?
Kama mtakavyoona kwenye video, Egypt imejenga ukuta mkubwa sana wenye nyaya za umeme ambazo zinazuia wakimbizi kutoka Palestina kuingia kwenye nchi hiyo. Swali ni kwanini?
Na hiyo sio kwa Egypt tu, hata nchi nyingi za Kiarabu hazichukui refugees kutoka Palestina.
Kwanini hawawataki hawa Wapalestina. Wana shinda gani?
n
Acha uwendawazimu. Watu wamegundua ujanja wa Israeli kuwaondoa wapalestina kwenye maeneo yao. Kuna wapalestina kibao wapo nje kama wakambizi Israel imewazuia kurudi nvhini mwao
Hao Wapalestina wanashirikiana na moslem brotherhood kutaka kuangusha serikali ya Misri. Hao watu ni tatizo kila Mahali. Egypt wameweka ukuta mkubwa sana ili wasipenye 🤔
n
Acha uwendawazimu. Watu wamegundua ujanja wa Israeli kuwaondoa wapalestina kwenye maeneo yao. Kuna wapalestina kibao wapo nje kama wakambizi Israel imewazuia kurudi nvhini mwao
Kuna video za wahamiaji na vijana kutoka Palestina nimekutana nazo mtandaoni leo zimenipa maswali sana kuhusu hatma ya mgogoro huo unaendelea huko Middle East.
Kuna umbali wa takriban Km 12.5 kutoka Gaza mpaka kufika Egypt. Egypt na Palestina ni nchi zilizo karibu sana ni kama Kenya na Tanzania. Lakini kwanini Egypt haichukui wakimbizi kutoka Gaza na Palestina?
Kama mtakavyoona kwenye video, Egypt imejenga ukuta mkubwa sana wenye nyaya za umeme ambazo zinazuia wakimbizi kutoka Palestina kuingia kwenye nchi hiyo. Swali ni kwanini?
Na hiyo sio kwa Egypt tu, hata nchi nyingi za Kiarabu hazichukui refugees kutoka Palestina.
Kwanini hawawataki hawa Wapalestina. Wana shinda gani?
Kuna video za wahamiaji na vijana kutoka Palestina nimekutana nazo mtandaoni leo zimenipa maswali sana kuhusu hatma ya mgogoro huo unaendelea huko Middle East.
Kuna umbali wa takriban Km 12.5 kutoka Gaza mpaka kufika Egypt. Egypt na Palestina ni nchi zilizo karibu sana ni kama Kenya na Tanzania. Lakini kwanini Egypt haichukui wakimbizi kutoka Gaza na Palestina?
Kama mtakavyoona kwenye video, Egypt imejenga ukuta mkubwa sana wenye nyaya za umeme ambazo zinazuia wakimbizi kutoka Palestina kuingia kwenye nchi hiyo. Swali ni kwanini?
Na hiyo sio kwa Egypt tu, hata nchi nyingi za Kiarabu hazichukui refugees kutoka Palestina.
Kwanini hawawataki hawa Wapalestina. Wana shinda gani?
Bwana mkubwa Mindyou nataka nikwambie kitu ukiweke akilini.
Israel wanampango wa kuwaondosha wapaelstina katika ardhi yao ili waichukue hiyo ardhii na kuweka makazi yao kama walivofanya maeneo mengine waliyopora ya wapelestina na ndo maana wakati huu wa vita wamekua wakiwafukuza GAZA mara kwa mara.Kwa akili yao walidhani EGYPT watawaruhusu wapelstina waelekee eneo la Sinai lakini EGYPT wamekataa ! Kwa sababu wanajua janja ya Isarel kuwafukuza wapalestina moja kwa moja kutoka katika ardhi yao ! Waarabu wanawahurumia sana wapelestina lakini kwa vile wanajua janja ya Israel nao wameamua kukaza kuhakikisha wapelestina wanapata nchi yao na huu ndo wakati muafaka na kama umesoma katika vyombo vya habari ni kuwa kuna nchi ytayari zimeshaanza kulitambua taifa la palestina ikiwemo Spain , Norway ,NK.
Israel hawataki kusikia kabisa taifa la wapalestina ! Sa hiyo ndio sababu kubwa unaona kama vile nchi za kiarabu hazitaki au hazina huruma kwa wapelestina wapelestina .
Bwana mkubwa Mindyou nataka nikwambie kitu ukiweke akilini.
Israel wanampango wa kuwaondosha wapaelstina katika ardhi yao ili waichukue hiyo ardhii na kuweka makazi yao kama walivofanya maeneo mengine waliyopora ya wapelestina na ndo maana wakati huu wa vita wamekua wakiwafukuza GAZA mara kwa mara.Kwa akili yao walidhani EGYPT watawaruhusu wapelstina waelekee eneo la Sinai lakini EGYPT wamekataa ! Kwa sababu wanajua janja ya Isarel kuwafukuza wapalestina moja kwa moja kutoka katika ardhi yao ! Waarabu wanawahurumia sana wapelestina lakini kwa vile wanajua janja ya Israel nao wameamua kukaza kuhakikisha wapelestina wanapata nchi yao na huu ndo wakati muafaka na kama umesoma katika vyombo vya habari ni kuwa kuna nchi ytayari zimeshaanza kulitambua taifa la palestina ikiwemo Spain , Norway ,NK.
Israel hawataki kusikia kabisa taifa la wapalestina ! Sa hiyo ndio sababu kubwa unaona kama vile nchi za kiarabu hazitaki au hazina huruma kwa wapelestina wapelestina .
Bwana mkubwa Mindyou nataka nikwambie kitu ukiweke akilini.
Israel wanampango wa kuwaondosha wapaelstina katika ardhi yao ili waichukue hiyo ardhii na kuweka makazi yao kama walivofanya maeneo mengine waliyopora ya wapelestina na ndo maana wakati huu wa vita wamekua wakiwafukuza GAZA mara kwa mara.Kwa akili yao walidhani EGYPT watawaruhusu wapelstina waelekee eneo la Sinai lakini EGYPT wamekataa ! Kwa sababu wanajua janja ya Isarel kuwafukuza wapalestina moja kwa moja kutoka katika ardhi yao ! Waarabu wanawahurumia sana wapelestina lakini kwa vile wanajua janja ya Israel nao wameamua kukaza kuhakikisha wapelestina wanapata nchi yao na huu ndo wakati muafaka na kama umesoma katika vyombo vya habari ni kuwa kuna nchi ytayari zimeshaanza kulitambua taifa la palestina ikiwemo Spain , Norway ,NK.
Israel hawataki kusikia kabisa taifa la wapalestina ! Sa hiyo ndio sababu kubwa unaona kama vile nchi za kiarabu hazitaki au hazina huruma kwa wapelestina wapelestina .