Pre GE2025 Video: Huyu kijana wa UVCCM ametoa wapi nguvu ya kumkanya Tundu Lissu namna hii? No Reform No Elections inawauma sana CCM

Pre GE2025 Video: Huyu kijana wa UVCCM ametoa wapi nguvu ya kumkanya Tundu Lissu namna hii? No Reform No Elections inawauma sana CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Nimekutana na hii video clip ya Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Victor Makundi akizungumzia ajenda ya No Reform No Election ya Tundu Lissu.

Kijana mdogo kama huyu anapata wapi nguvu ya kuiita CHADEMA chama cha Kicoba? Confidence hii anatoa wapi?

===========================================================

Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Ndug. Victor Makundi amezungumza na vijana wa UVCCM Katika Kambi Maalumu la Vijana Mkoani Kilimanjaro.

Ndug.Mbaraza amewasihi Vijana kuilinda Katiba ya Nchi Yetu, Hasa katika kipindi Hiki tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, amesema hayo ikizingatiwa kwamba hivi karibuni Mwenyekiti Wa Chadema Tundu Lissu alitoa matamko ya kutaka kuvunja matakwa ya Katiba Katika Taifa letu ambayo yanahamasisha kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.

Mbaraza Amewataka Vijana kuhakikisha wanatekeleza Wajibu Wao Wa kutokuvurugwa na Wasaliti Hawa katika Taifa Letu.

Aidha Ndugu Mbaraza Amemuonya Tundu Lissu Lissu na Genge Lake Ya kwamba Swala La Uchaguzi Ni swala la lazima na la kikatiba katika Taifa letu na si takwa la kifamilia, Hivo Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka huu Utafanyika.


 
Wakuu,

Nimekutana na hii video clip ya Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Victor Makundi akizungumzia ajenda ya No Reform No Election ya Tundu Lissu.

Kijana mdogo kama huyu anapata wapi nguvu ya kuiita CHADEMA chama cha Kicoba? Confidence hii anatoa wapi?

===========================================================

Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Ndug. Victor Makundi amezungumza na vijana wa UVCCM Katika Kambi Maalumu la Vijana Mkoani Kilimanjaro.

Ndug.Mbaraza amewasihi Vijana kuilinda Katiba ya Nchi Yetu, Hasa katika kipindi Hiki tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, amesema hayo ikizingatiwa kwamba hivi karibuni Mwenyekiti Wa Chadema Tundu Lissu alitoa matamko ya kutaka kuvunja matakwa ya Katiba Katika Taifa letu ambayo yanahamasisha kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.

Mbaraza Amewataka Vijana kuhakikisha wanatekeleza Wajibu Wao Wa kutokuvurugwa na Wasaliti Hawa katika Taifa Letu.

Aidha Ndugu Mbaraza Amemuonya Tundu Lissu Lissu na Genge Lake Ya kwamba Swala La Uchaguzi Ni swala la lazima na la kikatiba katika Taifa letu na si takwa la kifamilia, Hivo Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka huu Utafanyika.


Alikuwa amekunywa mbege yenye msesewe!
 
Ccm msiumie sana uchaguzi ni hiyari siyo lazima kwa wananchi. Ccm msilielie sana uchaguzi mtafanya na huyo mama yenu. Watanzania tumechoka kutawaliwa na maras ambao hatuwachagui sisi wenyewe. Wajinga nyie
 
Wakuu,

Nimekutana na hii video clip ya Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Victor Makundi akizungumzia ajenda ya No Reform No Election ya Tundu Lissu.

Kijana mdogo kama huyu anapata wapi nguvu ya kuiita CHADEMA chama cha Kicoba? Confidence hii anatoa wapi?

===========================================================

Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Ndug. Victor Makundi amezungumza na vijana wa UVCCM Katika Kambi Maalumu la Vijana Mkoani Kilimanjaro.

Ndug.Mbaraza amewasihi Vijana kuilinda Katiba ya Nchi Yetu, Hasa katika kipindi Hiki tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, amesema hayo ikizingatiwa kwamba hivi karibuni Mwenyekiti Wa Chadema Tundu Lissu alitoa matamko ya kutaka kuvunja matakwa ya Katiba Katika Taifa letu ambayo yanahamasisha kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.

Mbaraza Amewataka Vijana kuhakikisha wanatekeleza Wajibu Wao Wa kutokuvurugwa na Wasaliti Hawa katika Taifa Letu.

Aidha Ndugu Mbaraza Amemuonya Tundu Lissu Lissu na Genge Lake Ya kwamba Swala La Uchaguzi Ni swala la lazima na la kikatiba katika Taifa letu na si takwa la kifamilia, Hivo Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka huu Utafanyika.


Wekeni Tume huru ya Uchaguzi mtaona maana halisi ya Uchaguzi. Polisi wakae mbali na vituo vya uchaguzi nyie vijana ni wajinga sana.
 
Wakuu,

Nimekutana na hii video clip ya Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Victor Makundi akizungumzia ajenda ya No Reform No Election ya Tundu Lissu.

Kijana mdogo kama huyu anapata wapi nguvu ya kuiita CHADEMA chama cha Kicoba? Confidence hii anatoa wapi?

===========================================================

Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Ndug. Victor Makundi amezungumza na vijana wa UVCCM Katika Kambi Maalumu la Vijana Mkoani Kilimanjaro.

Ndug.Mbaraza amewasihi Vijana kuilinda Katiba ya Nchi Yetu, Hasa katika kipindi Hiki tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, amesema hayo ikizingatiwa kwamba hivi karibuni Mwenyekiti Wa Chadema Tundu Lissu alitoa matamko ya kutaka kuvunja matakwa ya Katiba Katika Taifa letu ambayo yanahamasisha kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.

Mbaraza Amewataka Vijana kuhakikisha wanatekeleza Wajibu Wao Wa kutokuvurugwa na Wasaliti Hawa katika Taifa Letu.

Aidha Ndugu Mbaraza Amemuonya Tundu Lissu Lissu na Genge Lake Ya kwamba Swala La Uchaguzi Ni swala la lazima na la kikatiba katika Taifa letu na si takwa la kifamilia, Hivo Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka huu Utafanyika.


Umepata mda machafu wapi kuangalia vitu kama hivi sio kila kitu cha kuangalia vingine utatapika ..njaa mkuu njaaa
 
CHADEMA kutokushiriki uchaguzi kuta waathiri wao wenyewe kuliko chama kingine. Lengo lao lingetakiwa kuwa na wawakilishi bungeni ambao wange wasaidia kuwasilisha hoja zao endapo mchakato wa kupata katiba mpya au kurekebisha Sheria ya tume ya uchaguzi utaidhinishwa. Ubabe wanao onyesha hauonyeshi nia ya wao kurekebisha mapungufu yaliyopo. Endapo katiba mpya itapita basi itakuwa imejadiliwa na bunge la chama kimoja tu. Inabidi CHADEMA wa compromise kuingia kwenye uchaguzi huu kwa manufaa ya Chama chao na kurekebisha hali ya siasa nchini
 
pia mtoa bandiko una matatizo ujinga na upumbavu wewe unaita ujasiri
 
Wakuu,

Nimekutana na hii video clip ya Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Victor Makundi akizungumzia ajenda ya No Reform No Election ya Tundu Lissu.

Kijana mdogo kama huyu anapata wapi nguvu ya kuiita CHADEMA chama cha Kicoba? Confidence hii anatoa wapi?

===========================================================

Mjumbe Wa Baraza Kuu La Umoja Vijana Wa CCM Taifa Ndug. Victor Makundi amezungumza na vijana wa UVCCM Katika Kambi Maalumu la Vijana Mkoani Kilimanjaro.

Ndug.Mbaraza amewasihi Vijana kuilinda Katiba ya Nchi Yetu, Hasa katika kipindi Hiki tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, amesema hayo ikizingatiwa kwamba hivi karibuni Mwenyekiti Wa Chadema Tundu Lissu alitoa matamko ya kutaka kuvunja matakwa ya Katiba Katika Taifa letu ambayo yanahamasisha kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.

Mbaraza Amewataka Vijana kuhakikisha wanatekeleza Wajibu Wao Wa kutokuvurugwa na Wasaliti Hawa katika Taifa Letu.

Aidha Ndugu Mbaraza Amemuonya Tundu Lissu Lissu na Genge Lake Ya kwamba Swala La Uchaguzi Ni swala la lazima na la kikatiba katika Taifa letu na si takwa la kifamilia, Hivo Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka huu Utafanyika.


Daah, Ile amani tunayoona kuwa ipo Iko ukingoni saana saana mmmh !
 
Sehemu kubwa ya failure ya elimu yetu ni pamoja na kutowajengea vijana uwezo wa kujibu hoja kwa hoja, badala yake wanajibu hoja kwa mipasho. Kama nchi ni yetu sote, basi tuweke utaratibu mzuri wa kila mtu kushiriki kwenye masuala ya kitaifa bila vitisho, upendeleo na kwa uwazi usiotia mashaka kwa yoyote. Hebu jibuni hoja za Lissu kwa hoja sahihi badala ya makofi na kelele bila kutafakari kwa umakini undani wa hoja zake
 
Magufuli ali acha legacy ya kusifia upate teuzi.. Ndiyo inawaharibu vijana wana shindwa kuwa wazi wamelemaa wapate teuzi..
 
Nimemsikiliza jamaa ni mwanasiasa na propagandist mzuri sana
 
Back
Top Bottom