Video: IDF wagundua handaki lenye ghorofa kadhaa kwenda chini

Video: IDF wagundua handaki lenye ghorofa kadhaa kwenda chini

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hawa magaidi wa dini hizi hela wangezitumia vizuri wangebadilisha maisha ya Wapalestina, yaani miaka yote waliwekeza kwenye miundo mbinu ya kiugaidi tu. Israel wana kila haki ya kufyatua Gaza na kuifanya majivu, haiwezekani unaishi jirani na watu ambao kila siku wanawaza kukufuta kwenye ramani ya dunia kisa wameagizwa kwenye dini.
Ikumbukwe Israel wana uwezo wa kufanya kitu kinachoitwa "carpet bombing", yaani unapiga bomu linafuta eneo lote bila kujali kiumbe chochote, sema wanajidhibiti tu kisa makelele ya dunia.
==============================

GAZA CITY, Gaza Strip — A central square in Gaza’s largest city that until October 7 was a humming center of Palestinian retail and commercial activity hid an extensive warren of Hamas tunnels used by the terror group’s top officials to hide from Israel, the military has revealed.

Among those whose homes or offices were linked by the network of subterranean fortifications was Muhammad Deif, the elusive leader of the terror group’s military wing, and Yahya Sinwar, the top Hamas official in Gaza, according to the Israel Defense Forces.

Palestine Square is located in the upscale Rimal neighborhood of Gaza City, an area that before the war was seen as the power center of the enclave’s elite, home to top officials from the terror group ruling the Strip.
IDF troops uncover Hamas tunnels under Palestine Square in Gaza City [English]

 
Pia viongozi wa hamas ni mafisadi na wezi. Wana utajiri wa mabilioni ya madola. Wanamiliki mali za mabilioni. Wanakula bata kwenye mahoteli ya gharama kubwa mno wao na watoto wao. Wana magari makali, nyumba kali Qatar na Uturuki, private jets, pombe Kali na pisi kali za aina mbalimbali hata zenye Tako KUBWA.

Viongozi wa hamas ni matapeli tu.

Huku watu wa gaza ni masikini.


 
Hawa magaidi wa dini hizi hela wangezitumia vizuri wangebadilisha maisha ya Wapalestina, yaani miaka yote waliwekeza kwenye miundo mbinu ya kiugaidi tu. Israel wana kila haki ya kufyatua Gaza na kuifanya majivu, haiwezekani unaishi jirani na watu ambao kila siku wanawaza kukufuta kwenye ramani ya dunia kisa wameagizwa kwenye dini.
Ikumbukwe Israel wana uwezo wa kufanya kitu kinachoitwa "carpet bombing", yaani unapiga bomu linafuta eneo lote bila kujali kiumbe chochote, sema wanajidhibiti tu kisa makelele ya dunia.
==============================

GAZA CITY, Gaza Strip — A central square in Gaza’s largest city that until October 7 was a humming center of Palestinian retail and commercial activity hid an extensive warren of Hamas tunnels used by the terror group’s top officials to hide from Israel, the military has revealed.

Among those whose homes or offices were linked by the network of subterranean fortifications was Muhammad Deif, the elusive leader of the terror group’s military wing, and Yahya Sinwar, the top Hamas official in Gaza, according to the Israel Defense Forces.

Palestine Square is located in the upscale Rimal neighborhood of Gaza City, an area that before the war was seen as the power center of the enclave’s elite, home to top officials from the terror group ruling the Strip.
IDF troops uncover Hamas tunnels under Palestine Square in Gaza City [English]

🤣🤣🤣wameagizwa kwenye dini
 
"Adwan Hospital " Gaza ni base ya kigaidi. Manager wa Hospital baada ya kuhojiwa na vikosi vya Israeli akiri kujiunga na Hamas tangu 2010 nani mwanachama Gaidi mwenye rank za juu!
Mytake :Israeli wanahaki ya kushambulia maeneo yote ambayo ni hatarishi kwao,Zikiwemo;shule,misikiti,hospital na makanisa
.....

View: https://t.me/hnaftali/7150
 
🤣🤣🤣wameagizwa kwenye dini

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
Kumbe kweli allah wao kawaambia waue
 
Hamas kund teule
20231221_064937.jpg
 
Hawa magaidi wa dini hizi hela wangezitumia vizuri wangebadilisha maisha ya Wapalestina, yaani miaka yote waliwekeza kwenye miundo mbinu ya kiugaidi tu. Israel wana kila haki ya kufyatua Gaza na kuifanya majivu, haiwezekani unaishi jirani na watu ambao kila siku wanawaza kukufuta kwenye ramani ya dunia kisa wameagizwa kwenye dini.
Ikumbukwe Israel wana uwezo wa kufanya kitu kinachoitwa "carpet bombing", yaani unapiga bomu linafuta eneo lote bila kujali kiumbe chochote, sema wanajidhibiti tu kisa makelele ya dunia.
==============================

GAZA CITY, Gaza Strip — A central square in Gaza’s largest city that until October 7 was a humming center of Palestinian retail and commercial activity hid an extensive warren of Hamas tunnels used by the terror group’s top officials to hide from Israel, the military has revealed.

Among those whose homes or offices were linked by the network of subterranean fortifications was Muhammad Deif, the elusive leader of the terror group’s military wing, and Yahya Sinwar, the top Hamas official in Gaza, according to the Israel Defense Forces.

Palestine Square is located in the upscale Rimal neighborhood of Gaza City, an area that before the war was seen as the power center of the enclave’s elite, home to top officials from the terror group ruling the Strip.
IDF troops uncover Hamas tunnels under Palestine Square in Gaza City [English]

Mr uharo bana kila siku ni kugundua mahandaki tu mateka hawajui walipo.
 
Asante kwa taarifa mkuu. Hata BBC nao wametangaza hii kitu. Haya magaidi yalijipanga sana. Ndiyo maana yalipoona mashimo yao yapo tayari yakaenda kuchokoza nyuki.
 
Wazungu wana huruma sana. Mataifa ya dini hii ya kiislamu wanadundana kila siku. Mwisho wa siku wanaenda kuomba hifadhi ulaya. Ndiyo maana UK wanataka kuyaleta Rwanda. Ni dini moja lakini kuuana kila siku.
 
Hawa magaidi wa dini hizi hela wangezitumia vizuri wangebadilisha maisha ya Wapalestina, yaani miaka yote waliwekeza kwenye miundo mbinu ya kiugaidi tu. Israel wana kila haki ya kufyatua Gaza na kuifanya majivu, haiwezekani unaishi jirani na watu ambao kila siku wanawaza kukufuta kwenye ramani ya dunia kisa wameagizwa kwenye dini.
Ikumbukwe Israel wana uwezo wa kufanya kitu kinachoitwa "carpet bombing", yaani unapiga bomu linafuta eneo lote bila kujali kiumbe chochote, sema wanajidhibiti tu kisa makelele ya dunia.
==============================

GAZA CITY, Gaza Strip — A central square in Gaza’s largest city that until October 7 was a humming center of Palestinian retail and commercial activity hid an extensive warren of Hamas tunnels used by the terror group’s top officials to hide from Israel, the military has revealed.

Among those whose homes or offices were linked by the network of subterranean fortifications was Muhammad Deif, the elusive leader of the terror group’s military wing, and Yahya Sinwar, the top Hamas official in Gaza, according to the Israel Defense Forces.

Palestine Square is located in the upscale Rimal neighborhood of Gaza City, an area that before the war was seen as the power center of the enclave’s elite, home to top officials from the terror group ruling the Strip.
IDF troops uncover Hamas tunnels under Palestine Square in Gaza City [English]

Nawewe kama kawaida yako una amini propaganda hizi za kitoto!!!
 
Nawewe kama kawaida yako una amini propaganda hizi za kitoto!!!

Takbir...nilijua umekwenda kusaidia wavaa makobaz wenzio, wanakipata cha moto, hizo shobo zenu muendelee kufanyia Wakristo ila mtemane na Wayahudi, ni makatili na hupiga sana.

3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
Back
Top Bottom