Pole kunywa maji mengi sana utapata nafuuu na utaweza kuukubali ukweli uliombele yako. Utazoea tu kusikia miji ya Israel ikinyanyaswa na technology ya Iran.Umelewa chang'aa au mataputapu au upo msikitini kwa babu yenu Allah mkubwa wa uongo
Katafute sehemu wanapouza akili uweke kwenye ubongo wako..
Leo ndo umefufuka???, ulikuwa wapi siku zote???, tume ku tag Sana kwenye nyuzi haujibu kwa Nini???,Wanaukimbi.
Video inaonyesha ving'ora viliposikika Tel Aviv na uwanja wa ndege wa Ben Gurion huku Wahouthi wakirusha makombora dhidi ya Israel kutoka Yemen. Kundi linalojihami na Iran linasema mashambulizi yao yanapinga mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.
===============
Video shows the moment sirens ring in Tel Aviv and Ben Gurion airport as Houthis launch missiles at Israel from Yemen. The Iran-aligned armed group says their attacks are in opposition to Israel’s genocide in Gaza.
View: https://x.com/ajenglish/status/1874112062483554525?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hujasema upande wa magaidi wamekufa wangapi?JF kuna vituko huyu Muisrael mweusi ya Gairo hataki habari za Israel ziandikwe JF😂
Umewekewa na chanzo Al Jazera bado hutaki wewe punguani kweli wewe.
Sema wewe mimi nasema hivi angalia magaidi wanavyochezea kichapo.Hujasema upande wa magaidi wamekufa wangapi?
Mmeanza sifa, watakapoanza kupukutishwa wewe mwenyewe utaanza kuilaumu Israel, kama mlivyoshangjlia kwa Hamas n Hezeb mkawasifu ,mkashangila leo mmeananza hata hao wakati wao uuunawafuuata utafika tuWanaukimbi.
Video inaonyesha ving'ora viliposikika Tel Aviv na uwanja wa ndege wa Ben Gurion huku Wahouthi wakirusha makombora dhidi ya Israel kutoka Yemen. Kundi linalojihami na Iran linasema mashambulizi yao yanapinga mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.
===============
Video shows the moment sirens ring in Tel Aviv and Ben Gurion airport as Houthis launch missiles at Israel from Yemen. The Iran-aligned armed group says their attacks are in opposition to Israel’s genocide in Gaza.
View: https://x.com/ajenglish/status/1874112062483554525?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ndugu vipi Wazee wa Resistance Hezbollah +Hamas wanaendeleaje????Wanaukimbi.
Video inaonyesha ving'ora viliposikika Tel Aviv na uwanja wa ndege wa Ben Gurion huku Wahouthi wakirusha makombora dhidi ya Israel kutoka Yemen. Kundi linalojihami na Iran linasema mashambulizi yao yanapinga mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.
===============
Video shows the moment sirens ring in Tel Aviv and Ben Gurion airport as Houthis launch missiles at Israel from Yemen. The Iran-aligned armed group says their attacks are in opposition to Israel’s genocide in Gaza.
View: https://x.com/ajenglish/status/1874112062483554525?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hawa wehu wamekuwa na akili matope sana to say the leastKwa hiyo hao watu kukimbia kwenu ndo semblance ya ushindi?
Grasping at straws on every turn 🤣.
Mlichokuwa mnakitafuta, mmekipata.
Hakutakuwa tena na mashambulizi kama lile la Octoba 7.
Mtaishia kuleta rabsha rabsha tu za kurusha mawe hapa na pale halafu mnajitangazia ushindi.
Lakini kamwe hamtathubutu tena kufanya mashambulizi ndani ya Israel.
Happy 2025 🤣🤣🤣.
Ww ambaye hujatahiriwa acha kuzihaki watu kwanza hujaokaka unaishi kwa kama punguaniJF kuna vituko huyu Muisrael mweusi ya Gairo hataki habari za Israel ziandikwe JF😂
Umewekewa na chanzo Al Jazera bado hutaki wewe punguani kweli wewe.
Leo ndo umefufuka???, ulikuwa wapi siku zote???, tume ku tag Sana kwenye nyuzi haujibu kwa Nini???,Sema wewe mimi nasema hivi angalia magaidi wanavyochezea kichapo.
View: https://x.com/drmahmoudsaleme/status/1874309626667143316?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanakimbia nini kwani au kuna simba kaachiwa mtaani!!!Hawa wehu wamekuwa na akili matope sana to say the least
Kuokaka ndio nini ww mnunua udongo lete faida zake ukiokoka unakuwaje!!Ww ambaye hujatahiriwa acha kuzihaki watu kwanza hujaokaka unaishi kwa kama punguani
Ehe, kwaiyo kobas hapo roho kwatu, furaha na kicheko. Hongera sanaWanaukimbi.
Video inaonyesha ving'ora viliposikika Tel Aviv na uwanja wa ndege wa Ben Gurion huku Wahouthi wakirusha makombora dhidi ya Israel kutoka Yemen. Kundi linalojihami na Iran linasema mashambulizi yao yanapinga mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.
===============
Video shows the moment sirens ring in Tel Aviv and Ben Gurion airport as Houthis launch missiles at Israel from Yemen. The Iran-aligned armed group says their attacks are in opposition to Israel’s genocide in Gaza.
View: https://x.com/ajenglish/status/1874112062483554525?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Unajua idadi ya wafu uko Israel au taifa teule au taifa la mashoga ulinwenguni. Unajua wamefukia watu wangapi adi chanzo cha vifo ndio ao resistance kenge ww ujui lkn faam kuna familia zinalia kilasiku mwaka wote huu kwa kupoteza wapendwa wao we unawadhalau resistance!!! Umeshiba migebuka kazi ya ushabiki maandazi tu wenzio wanefiwa na ndugu zao wadam baba zao kaka zao we unawachukulia poa resistance Acha dhalau au nenda ukapiganenao ndio utawajua resistance kinanani vilio uvioni vyawazayuni!!Ndugu vipi Wazee wa Resistance Hezbollah +Hamas wanaendeleaje????
🤣🤣🤣🤣 Resistance.Unajua idadi ya wafu uko Israel au taifa teule au taifa la mashoga ulinwenguni. Unajua wamefukia watu wangapi adi chanzo cha vifo ndio ao resistance kenge ww ujui lkn faam kuna familia zinalia kilasiku mwaka wote huu kwa kupoteza wapendwa wao we unawadhalau resistance!!! Umeshiba migebuka kazi ya ushabiki maandazi tu wenzio wanefiwa na ndugu zao wadam baba zao kaka zao we unawachukulia poa resistance Acha dhalau au nenda ukapiganenao ndio utawajua resistance kinanani vilio uvioni vyawazayuni!!
.