Ndio hayo tunayoyasema. Nandy hawezi kumkaribia hata kidogo Ruby. Tatizo kuna wachache wameshikilia mziki wanafanya juu chini kumshusha mtoto wa watu huku kwenye public wakihubiri kataa kuwa kaa. Huu ni uhuni.Nandy kaja Juzijuzi kapata tuzo!
Kweli ruby ni zaidi ya Nandy.Ndio hayo tunayoyasema. Nandy hawezi kumkaribia hata kidogo Ruby. Tatizo kuna wachache wameshikilia mziki wanafanya juu chini kumshusha mtoto wa watu huku kwenye public wakihubiri kataa kuwa kaa. Huu ni uhuni.
Na wote wanatungiwa..nandy yuko vizuri
nyimbo zake zina utunzi mzuri zaidi ya ruby...
ruby pia yuko vizuri
wasanii wetu wa kike wako vizuri wote nawapenda
Kweli ruby ni zaidi ya Nandy.
Kaa la moto au??clouds ni kaa
Sio Nandy tu, Jay Dee, Vanessa Mdee na mademu wengine wa Bongo Flava wanasubiri kwa Ruby.
Ruby kwa kuimba alazimishi, ni natural kama ilivyo kwa Saida Karoli.
Siamini...Ndio hayo tunayoyasema. Nandy hawezi kumkaribia hata kidogo Ruby. Tatizo kuna wachache wameshikilia mziki wanafanya juu chini kumshusha mtoto wa watu huku kwenye public wakihubiri kataa kuwa kaa. Huu ni uhuni.
Sasa wewe ndio unanilaumu mimi!!? Mimi nasema ninachoona na wewe sema ujuacho. Nasikia Ruby na Ruge wanasali kanisa moja na eti Ruge alimtoa kanisani na kumpeleka THT baada ya hapo ndio akampotezea kutokana na ucha Mungu wake wa kutenda mema na kutokuwa Yezebeli.Siamini...
Kuna redio efm, uhuru, east africa redio, passion, radio free africa, redio za mikoa unataka kuniambia ana zicontrol ruge?
Naona tatizo kubwa ni kwamba anajua kuimba anasauti nzuri ila watunzi.
Maana nyimbo zake zote za awali aliandikiwa na watu hasa wa THT, sasa kakorofishaba na uongozi ndiyo hivyo kila nyimbo anayotoa watu sijui hawazielewi...
we mwenyewe si ajabu zaidi ya nyimbo alizotoa alipokuwa hajakorofishaba na clouds hakuna wimbo wake mpya unaoujua wakati ashatoa nyimbo kama tatu ikiwemo singeri
Ruby alipatikana kwenye mashindano ya kuimba ya fiesta super nyota na alikuwa mshindi wa dar baadae akawa kati ya washindi wa kitaifa, yani kama ilivyo kwa akina young killer, stamina na wengine.Sasa wewe ndio unanilaumu mimi!!? Mimi nasema ninachoona na wewe sema ujuacho. Nasikia Ruby na Ruge wanasali kanisa moja na eti Ruge alimtoa kanisani na kumpeleka THT baada ya hapo ndio akampotezea kutokana na ucha Mungu wake wa kutenda mema na kutokuwa Yezebeli.
Sasa hapo kaa ni nani?
Je, haiwezekani kuwa kupitia mashindano ni ujanja ujanja tu. Kwanini Ruby washindwane na Clouds?Ruby alipatikana kwenye mashindano ya kuimba ya fiesta super nyota na alikuwa mshindi wa dar baadae akawa kati ya washindi wa kitaifa, yani kama ilivyo kwa akina young killer, stamina na wengine.
Ila ni kweli alikuwa akiimba gospel kanisani
Hivi wewe ukiwa unamiliki redio bila unafiki sema ukweli mimi ni msanii tumeshindwa kuelewana labda unadai nakulipa pesa ndogo, then nisiishie hapo niende nikuandike mbovu utaendelea kupiga nyimbo zangu?Je, haiwezekani kuwa kupitia mashindano ni ujanja ujanja tu. Kwanini Ruby washindwane na Clouds?
Ruby anamadhara gani? Kwanini wazifungie nyimbo zake? Kama siyo kuwa kama kaa?
Wenyewe wanasema kataa kuwa kaa wakati wao ndio makaa. Kwanini ukipoteze kipaji hicho.
Unaweza kuniambia kwanini nyimbo za Ruby hazipigwi Clouds wakati ndio wao walimuibua?
Hilo swala lako mbona umeshalijibu wewe mwenyewe.Hivi wewe ukiwa unamiliki redio bila unafiki sema ukweli mimi ni msanii tumeshindwa kuelewana labda unadai nakulipa pesa ndogo, then nisiishie hapo niende nikuandike mbovu utaendelea kupiga nyimbo zangu?
Mimi swali ninalo jiuliza kuacha clouds kupiga nyimbo zake kuka comnection gani na yeye kushuka wakati clouds ni redio moja tanzania kuna utitiri wa redio kibao?
Kuna kipindi alikuwa akifanya media tour redio na tv mbalimbali alikuwa katoa nyimbo mpya kwanini nao hawazipigi?
Siwezi kujua nani mwenye makosa maana kati yao hakuna ambaye aliwahi kusema hadharani tatizo ni nini zaidi ya kuona ruby anatupia vijembe mtandaoni na ruge akajibu yeye hana tatizo na ruby na kipindi ruby alikuwa kaitwa coke studio kwasababu ya clouds na aliyemsindikiza ni mfanyakazi wa clouds.Hilo swala lako mbona umeshalijibu wewe mwenyewe.
Halafu hebu niambie tatizo la msingi kati ya Ruby na Clouds.
Bila kuwa biased nani mwenye makosa kati ya Clouds na Ruby?
Nimekuuliza ni nani mwenye tatizo? Umeshindwa kusema ni nani mwenye tatizo. Halafu hapo hapo unamhukumu Ruby.Siwezi kujua nani mwenye makosa maana kati yao hakuna ambaye aliwahi kusema hadharani tatizo ni nini zaidi ya kuona ruby anatupia vijembe mtandaoni na ruge akajibu yeye hana tatizo na ruby na kipindi ruby alikuwa kaitwa coke studio kwasababu ya clouds na aliyemsindikiza ni mfanyakazi wa clouds.
So kama unakubariana na mimi kuwa ana tatizo la utungaji basi clouds wasilaumiwe kuwa wanamshusha, aambiwe yeye kuwa atafute mtungaji wa nyimbo na melody nzuri tofauti na THT ambao kwa sasa hawawezi kumtungia nyimbo.
Hata wewe msipoelewana na mtu kuna vitu huwezi kumfanyia tena