greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Ulivyoandika utadhani mbowe ni malaika.Hata we unaongea nafsini una hatia na unajua. Ila kwasababu ni wakala wa shetani Lazima ujikaze.
Mbowe akifungwa hakuna faida yyte kwako wala KWA taifa. Bali ni wale wenye madaraka ndiyo wanataka watawale bila bughula. Wale keki ya nchi KWA amani.
Ole wa wananchi maskini pamoja na ww takataka wapiga mdomo bila faida yyte.
Seriously, mimi naomba mwenye fikra tofauti juu ya haya uliyoweka hapa aje aeleze tofauti iliyopo kati ya utawala wa Makaburu na hawa CCM wa Tanzania.Dhuluma na maovu yafanywayo na hii Serikali hayana tofauti kabisa na dhuluma na maovu yaliyofanywa na iliyokuwa Serikali ya Makaburu wa Afrika Kusini.
Hawatamuhukumu kifungo Mbowe kamwe,nmwanabuy time tu,watamuachia
Mkuu 'Akasankara', siyo kwamba "Mama anaona kabisa katika hii NCHI hakuna shida" peke yake, kuna jambo la msingi zaidi ya kuona shida tu!Mama anaona kabisa katika hii NCHI hakuna shida. Ipo siku
Huyo Judge huko aliko, likaptula limelowana, labda leo atalala na pampers maana ni zamu yake kunywa maji....Simple and clear:
1. kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda?
(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?
2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa?
(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?
Huyo Judge huko aliko, likaptula limelowana, labda leo atalala na pampers maana ni zamu yake kunywa maji....
si mahala pake- wanashindwa kutoa ushahidi mahakamani wanaleta kelele huku- bure kabisaView attachment 1982004
Jaji Mustapha Siyani katishwa akatishika na kuamua kuisigina haki hadharani mchana kweupe....
Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...!
Huyu kajitoa si kwa sababu eti ya majukumu yake mapya ya ujaji kiongozi, la hasha...!
Ni kwa sababu NAFSI YAKE IMEBEBA HATIA [guilty conscious]. Anaona giza mbele yake. Anamtumikia ibilisi shetani. Na shetani hana mzaha, atamtumikia weeeee lakini mwishoni anammaliza kwa kumchinja yeye. Ndivyo ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu Kristo...!!
Hapo awali alijitahidi sana kuonekana ni mtu wa haki lakini mwizi ni mwizi tu japo atajifanya kuvaa ngozi ya mwanakondoo asiye na dhambi lakini mwisho wa siku atajionesha tu kwa ngozi yake halisi ya chui....
Hii ndiyo picha ya Jaji Mustapha Siyani ambayo mtu anaweza kuichora. Hakika, hii haina shaka yoyote kuwa huyu naye ni mshirika wa ile syndicate ya uhalifu wa kidola...
Jaji Siyani amemaliza kipande chake, anakuja Jaji mwingine miongoni mwa syndicate ileile ya waliokwisha kuapa kuwa lazima wampoteze Mbowe na CHADEMA...
Swali ni wataweza? Mpango wao huu muovu utafanikiwa?
Msikilize wakili huyu akichambua makosa ya kisheria ya hukumu ya Jaji Mustapha Siyani...
Maelezo haya ya Jaji na wewe kuyakwoti na kuyaleta hapa ukiyalinganisha na ya wakili huyu na tuliokuwepo mahakamani siku zote kufuatilia mwenendo wa kesi ni tofauti na mbali kabisa kama ilivyo mbingu na nchi....!!si mahala pake- wanashindwa kutoa ushahidi mahakamani wanaleta kelele huku- bure kabisa
jaji: Kuhusu Pingamizi la pili kuhusiana Adamoo kulalamika kwamba Ameteswa
jaji: Wakili wa Serikali amesema Maelezo hayo yaliandikwa Siku ya tarehe 07 Mwezi wa 08? Na Kwamba Upande wa Utetezi wameshindwa Kuibua shaka.
jaji: Upande wa Utetezi umeshindwa Kuwahoji Mashahidi wa Jamhuri
jaji: Maelezo ya Adam Kasekwa ni kwamba Japo alitoa Maelezo lakini hakutoa kwa ridhaa yake.
jaji: Kuhusiana na Ushahidi wake hauonyeshi kuwa alitoa Maelezo au Kuteswa akiwa Central Police Dar es Salaam.
Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...!View attachment 1982004
Jaji Mustapha Siyani katishwa akatishika na kuamua kuisigina haki hadharani mchana kweupe....
Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...!
Huyu kajitoa si kwa sababu eti ya majukumu yake mapya ya ujaji kiongozi, la hasha...!
Ni kwa sababu NAFSI YAKE IMEBEBA HATIA [guilty conscious]. Anaona giza mbele yake. Anamtumikia ibilisi shetani. Na shetani hana mzaha, atamtumikia weeeee lakini mwishoni anammaliza kwa kumchinja yeye. Ndivyo ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu Kristo...!!
Hapo awali alijitahidi sana kuonekana ni mtu wa haki lakini mwizi ni mwizi tu japo atajifanya kuvaa ngozi ya mwanakondoo asiye na dhambi lakini mwisho wa siku atajionesha tu kwa ngozi yake halisi ya chui....
Hii ndiyo picha ya Jaji Mustapha Siyani ambayo mtu anaweza kuichora. Hakika, hii haina shaka yoyote kuwa huyu naye ni mshirika wa ile syndicate ya uhalifu wa kidola...
Jaji Siyani amemaliza kipande chake, anakuja Jaji mwingine miongoni mwa syndicate ileile ya waliokwisha kuapa kuwa lazima wampoteze Mbowe na CHADEMA...
Swali ni wataweza? Mpango wao huu muovu utafanikiwa?
Msikilize wakili huyu akichambua makosa ya kisheria ya hukumu ya Jaji Mustapha Siyani...
Dhamira itamhukumu mpaka kaburiniView attachment 1982026
Huyu ndiye Jaji ambaye aliamua kutotenda haki sababu ya cheo tu
jaji: Upande wa Utetezi umeshindwa Kuwahoji Mashahidi wa JamhuriMaelezo haya ya Jaji na wewe kuyakwoti na kuyaleta hapa ukiyalinganisha na ya wakili huyu na tuliokuwepo mahakamani siku zote kufuatilia mwenendo wa kesi ni tofauti na mbali kabisa kama ilivyo mbingu na nchi....!!
Jaji ametoa hukumu yake kwa kudhani na kwa hisia zake akiacha ushahidi wote wa mashahidi wa upande wa utetezi ukielea hewani...
Yaani, Jaji Mustapha Siyani kama alivyofanya mtangulizi wake Jaji Luvanda, naye kaamua kuegemea na kusaidiana na upande wa mashitaka. Kwa ufupi ni kuwa, Jaji Siyani kaacha jukumu lake la kuwa MWAMUZI ANAYEONGOZWA NA SHERIA ZA MCHEZO ili kuamua kwa haki, kaamua kuwa mchezaji wa moja ya timu na wakati huo huo akipuliza na kipyenga...!!
Yana mwisho haya...
Naona unahangaika kuokoteza vipande vinavyokufurahisha visivyo na maana kisheria, vile vya PGO mbona huviweki?jaji: Upande wa Utetezi umeshindwa Kuwahoji Mashahidi wa Jamhuri
Jaji kabainisha wazi kuwa mawakili wanaharakati walishindwa kuwahoji mashahidi wa Jamhuri ili kuthibitisha madai yao.
Hili liko wazi kwenye mwenendo wa wa kesi- kumbuka kwa mfano
wakili- wewe unaitwa Mahita
shahidi- Ndiyo
wakili- Mtoto wa Omary Mahita IGP msataafu
Shahidi- Ndiyo
Wakili- Baba yako aliwahi kuwasingizia CUF tuhuma za ugaidi
OFF POINT KABISA
Tatizo lako unachungulia dirishani badala ya kuingia ndani uione nyumba ktk engo zake zote...jaji: Upande wa Utetezi umeshindwa Kuwahoji Mashahidi wa Jamhuri
Jaji kabainisha wazi kuwa mawakili wanaharakati walishindwa kuwahoji mashahidi wa Jamhuri ili kuthibitisha madai yao.
Hili liko wazi kwenye mwenendo wa wa kesi- kumbuka kwa mfano
wakili- wewe unaitwa Mahita
shahidi- Ndiyo
wakili- Mtoto wa Omary Mahita IGP msataafu
Shahidi- Ndiyo
Wakili- Baba yako aliwahi kuwasingizia CUF tuhuma za ugaidi
OFF POINT KABISA
Hapana, siyo ktk hatua hii...Kisheria inaruhusiwa kukata rufaa ?