Video: Kesi ya F. A. Mbowe na wenzake, wakili aichambua hukumu ndogo ya Jaji M. Siyani...

Shangazi asante, naana maneno yako ni msumeno ku moyo, CCM hawana hamu na wewe kabisa!! wanadai ati umekulia CCM afu unawasema kila siku kwenye mitandao si vizuri kabisa.
 
Wanafanya maamzi ya kujiona wao ndio waliumba mbingu na dunia, na kutweza UTU, HAKI na UHURU wa watu. Mimi nashauri Mama azingatie pia kuna watu wanapitia mateso makubwa moyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…