MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Jul 13, 2020 #1 Huu ndio mwendo, vijana Wakenya wanapambana sana, inatia moyo kuona kizazi cha kesho kipo kimejiandaa kuipeleka hii nchi kunakostahili. Ifahamike sasa hivi tumepata soko hadi DRC, wanakuja kuagiza PPE tunazotengeneza viwandani.
Huu ndio mwendo, vijana Wakenya wanapambana sana, inatia moyo kuona kizazi cha kesho kipo kimejiandaa kuipeleka hii nchi kunakostahili. Ifahamike sasa hivi tumepata soko hadi DRC, wanakuja kuagiza PPE tunazotengeneza viwandani.
M Mbolabilika JF-Expert Member Joined Jul 30, 2019 Posts 2,128 Reaction score 2,867 Jul 13, 2020 #2 Niliza wewe kumbe kijana
MLEVi Mmoja JF-Expert Member Joined Jun 29, 2019 Posts 8,514 Reaction score 15,050 Jul 13, 2020 #3 [emoji23][emoji23][emoji23] daah mi mwenyewe nilijua we ukiwepo kumbe unasifia mwenzako
Naton Jr JF-Expert Member Joined Oct 5, 2016 Posts 7,867 Reaction score 19,250 Jul 13, 2020 #4 Nimeona PPE ikabidi nicheke Corona iliyotabiriwa itatuua kama flies leo ndio inawanyorosha kisawasawa, karma is a bitch na bado Mambo ya PPE tulishayasahau na kiwanda kilishafungwa 😅😅😅
Nimeona PPE ikabidi nicheke Corona iliyotabiriwa itatuua kama flies leo ndio inawanyorosha kisawasawa, karma is a bitch na bado Mambo ya PPE tulishayasahau na kiwanda kilishafungwa 😅😅😅
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jul 13, 2020 #5 Ni vitanda vya umeme?
MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Jul 13, 2020 Thread starter #6 MLEVi Mmoja said: [emoji23][emoji23][emoji23] daah mi mwenyewe nilijua we ukiwepo kumbe unasifia mwenzako Click to expand... Yeah, ni kijana anafanya makubwa ya kusifiwa, Kenya inapata soko la PPE hadi DRC sasa.
MLEVi Mmoja said: [emoji23][emoji23][emoji23] daah mi mwenyewe nilijua we ukiwepo kumbe unasifia mwenzako Click to expand... Yeah, ni kijana anafanya makubwa ya kusifiwa, Kenya inapata soko la PPE hadi DRC sasa.
A Asamwa JF-Expert Member Joined Apr 13, 2012 Posts 3,711 Reaction score 2,462 Jul 13, 2020 #7 Nilidhani video ingeonyesha jinsi ya ku-detach hiyo meza, ku-adjust ili mgonjwa aweze kulala etc.!