Video: Kongamano la Katiba Mpya lafana huko Mwibara Musoma

naona kama wanaimba na kucheza tu, sioni kongamano lolote labda macho yangu yanahitaji miwani zaidi.
 
safi sana, Taifa letu litakombolewa na Vijana tena ni leo na si kesho - anayechukia upatikana wa katiba mpya - si mwenzetu, si mzalendo wa kweli...hana nia njema na taifa letu.

Tunaendelea....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…