Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngja tusubrMh Kikwete aliwahi kutuambia kwamba wanaccm hawaaminiani kwa kiasi cha kushindwa hata kuachiana maji ya kunywa mezani .
Usemi huu wa Rais Mstaafu ungali hai hadi leo .
Kyela tayari mmoja amenaswa akilogaNgja tusubr
kama Mwakyembe hata pata nafasi yoyote kipindi hichi ktk serikali basi Five year survival rate yake haizidi 50%Kyela tayari mmoja amenaswa akiloga
viongozi weusi huwa wanakufa ghafla kwa presha wakikosa uteuzi na kupoteza itifaki, ni vizuri Makyembe awahi kurudi kufundisha chuo gani sijui , kuna mahali nilisoma wakasema Makyembe ni mhadhiri!!kama Mwakyembe hata pata nafasi yoyote kipindi hichi ktk serikali basi Five year survival rate yake haizidi 50%
Mkuu hii wapi, naona mtu kakoswa na kichwa hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mh Kikwete aliwahi kutuambia kwamba wanaCCM hawaaminiani kwa kiasi cha kushindwa hata kuachiana maji ya kunywa mezani .
Usemi huu wa Rais Mstaafu ungali hai hadi leo .
Policcm badala ya kumchukulia mvunja amani hatua anamsujudia!!!Mh Kikwete aliwahi kutuambia kwamba wanaCCM hawaaminiani kwa kiasi cha kushindwa hata kuachiana maji ya kunywa mezani .
Usemi huu wa Rais Mstaafu ungali hai hadi leo .
πππ ccm imekufa kitambo sana , ila inashikiliwa na kiuzi chembamba sana kiitwacho polisiNi nani huyo ameleta fujo ? Inaelekea ni kiongozi mpaka walinzi wanamsihi asiendelee kuleta fujo .
Pembeni kuna dada nae wameshikilia asifurukute
ππΏββοΈ