Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angezikwa kaburini,akaanza kuoza kama Lazaro au kungekuwa na taarifa ya Daktari ningeamini.The Devil can do anything.After all hii inaweza kuwa maigizo tu.Enendeni mkawaambie wana wa Kawe ; Wafu wanafufuka, viwete wanatembea, vipofu wanaona!
Hapa baba Askofu alimfufua mfu once upon a time!
View attachment 1544787
Fake bishop katika ubora wake.Enendeni mkawaambie wana wa Kawe ; Wafu wanafufuka, viwete wanatembea, vipofu wanaona!
Hapa baba Askofu alimfufua mfu once upon a time!
View attachment 1544787
Mhhh Kawe ya wajanjaCCM wametuletea tapeli!
Kile kilikuwa kiini macho mbona mkuu!Mwamba Mkapa tumemzka hivi hivi, kwa nini huyu tapeli hakuenda mfufua?
Enendeni mkawaambie wana wa Kawe ; Wafu wanafufuka, viwete wanatembea, vipofu wanaona!
Hapa baba Askofu alimfufua mfu once upon a time!
View attachment 1544787