Angezikwa kaburini,akaanza kuoza kama Lazaro au kungekuwa na taarifa ya Daktari ningeamini.The Devil can do anything.After all hii inaweza kuwa maigizo tu.Enendeni mkawaambie wana wa Kawe ; Wafu wanafufuka, viwete wanatembea, vipofu wanaona!
Hapa baba Askofu alimfufua mfu once upon a time!
View attachment 1544787
Fake bishop katika ubora wake.Enendeni mkawaambie wana wa Kawe ; Wafu wanafufuka, viwete wanatembea, vipofu wanaona!
Hapa baba Askofu alimfufua mfu once upon a time!
View attachment 1544787
Mhhh Kawe ya wajanjaCCM wametuletea tapeli!
Kile kilikuwa kiini macho mbona mkuu!Mwamba Mkapa tumemzka hivi hivi, kwa nini huyu tapeli hakuenda mfufua?
Enendeni mkawaambie wana wa Kawe ; Wafu wanafufuka, viwete wanatembea, vipofu wanaona!
Hapa baba Askofu alimfufua mfu once upon a time!
View attachment 1544787