Video kutoka maktaba: Baba Askofu Josephati Gwajima akimfufua mwanafunzi aliyefariki dunia ghafla

Na iweke vizuri sana!!! Labda muibe kura ila kumbukeni wizi sasa BAAASI!!!

Kwa akili yako tu ya kuzaliwa wewe mwenyewe, unaweza kumpa kura yako Gwajima mfufua wafu????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi siwezi kumpa ila hiyo ya kusema akishinda unajitoa Jf mkuu ni ahadi kubwa mno
 
Siasa yenyewe tu ni sanaa. Ni kama wenzie wameona amekubuhu katika sanaa. Wanajiongezea vipengere vya sanaa katika eneo la siasa. Siasa zenyewe kama fani hatujafikia hiyo evolution.
 
Na iweke vizuri sana!!! Labda muibe kura ila kumbukeni wizi sasa BAAASI!!!

Kwa akili yako tu ya kuzaliwa wewe mwenyewe, unaweza kumpa kura yako Gwajima mfufua wafu????πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wafu wanafufuka sema ameeeen
 
Tangia hapo akapata waumini, akajaza kanisa kwa huo usanii. Hao walioigiza walilipwa kiasi gani? Hiyo ndio kazi anayowapelekea wana Kawe.
 
huyu bwana anajuta sasa ivi kwa ujinga huu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚[SUB] dah Kwakweli , tucheke tuongeze siku za kuishi[/SUB]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…