Video kutoka maktaba: Baba Askofu Josephati Gwajima akimfufua mwanafunzi aliyefariki dunia ghafla

Nilikuwa nasinzia nilipokuwa natazama hii video ila huko mwishoni ndio nikastuka nikakurupuka
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila Gwajima tapeli!!!

Huyu ndo apewe kura za wanakawe????? Najitoa JF πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwani nani anajali ukibakia au kuondoka,

Kawe imewaponyoka

Inarudi CCM.
 
Nilikuwa nasinzia nilipokuwa natazama hii video ila huko mwishoni ndio nikastuka nikakurupuka
Ukafufuka na wewe πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Enendeni mkawaambie wana wa Kawe ; Wafu wanafufuka, viwete wanatembea, vipofu wanaona!
Hapa baba Askofu alimfufua mfu once upon a time!
View attachment 1544787

β€œWakufa kufa hivi mimi ndio nawapenda!!”

Dah!! Maisha ni zaidi ya fumbo la Imani!

Maiti imekaa kwenye kiti!

Tujipe pole watanzania!! Huyu ni kati ya watu ambao inawezekana kabisa akaingia bungeni kwenda kusaidia Serikali na wananchi wake!!

β€œNo single thing abides; and all things are fucked up.”
 
Alisema angemfufua amina chifupa, mwambieni tupo tunasubiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…