Video: Kwa haya mambo kwa Sisi Yanga. Hapana. This is too much. Wacha si wengine tuseme

Video: Kwa haya mambo kwa Sisi Yanga. Hapana. This is too much. Wacha si wengine tuseme

Joined
Nov 2, 2023
Posts
83
Reaction score
251
Kuna viongozi wa Serikali wanaiiharibu sana hii team kiasi kwamba wote tunaonekana hatuna akili. Wote tunaonekana vilaza. Tufanyeni mambo kisomi. Huu upumbavu hautatusaidia hata kidogo. Ni mambo ya kipuuzi. Na msitake kuleta madeko na hatimaye kuja iharibu Ligi yetu kipuuzi tu.

 
Watu walisema wakatukanwa wakasemwa weeh.Ila kama nchi tujichunguze SAMA.
 
Kuna viongozi wa Serikali wanaiiharibu sana hii team kiasi kwamba wote tunaonekana hatuna akili. Wote tunaonekana vilaza. Tufanyeni mambo kisomi. Huu upumbavu hautatusaidia hata kidogo. Ni mambo ya kipuuzi. Na msitake kuleta madeko na hatimaye kuja iharibu Ligi yetu kipuuzi tu.

View attachment 3265853
Unadhani maoni ya hawa Watu wawili yalikuwa ya Uwongo?

Haji Manara...

Wenye Akili timamu Yanga SC nzima ni Baba yake Mzee Manara na Rais Mstaafu Kikwete.

Kocha Luc Eymael...

Mashabiki wa Yanga SC ni sawa na Nyani, Mbwa na Sokwe.
 
Unadhani maoni ya hawa Watu wawili yalikuwa ya Uwongo?

Haji Manara...

Wenye Akili timamu Yanga SC nzima ni Baba yake Mzee Manara na Rais Mstaafu Kikwete.

Kocha Luc Eymael...

Mashabiki wa Yanga SC ni sawa na Nyani, Mbwa na Sokwe.
Dah,wametokwa povu Sasa wamelegea wanaona haya.Ila wengi wao hawana umri wa kutosha hawazijui timu hizi kiundani.
 
bla bla tu
aongelee na kadi nyekundu ya mchezaji wa Namungo alikuwapo/angekuwapo angefanya nini?
au ndo angeishia kusema Refa naye ni binadamu
 
bla bla tu
aongelee na kadi nyekundu ya mchezaji wa Namungo alikuwapo/angekuwapo angefanya nini?
au ndo angeishia kusema Refa naye ni binadamu
Namungo inaingiaje hapa...Jikite kwenye mada
 
Yanga kila kitu wanaona wanarogwa hawa jamaa
Wanajiabisha
 
Tecno yangu imeshindwa kuplay video. Nipeni maelezo kidogo mana naona comments zinanivuruga tu
 
Sasa hapo uyo bitebo alichokizungumza cha ajabu ni kipi? Yote aliyoyazungumza na Simba wanafanya,,kutokuingia kwenye vyumba uwezi kuingia kama umenusa hali ya hujuma iyo ni kawaida, tuliona mechi ya Jkt na fountain gate kama sikosei afisa habari alisema kabisa walikuta kwenye vyumba Kuna harufu isiyo ya kawaida na awakuingia,,vitu ivyo vipo mi sioni anakiongea uyo cha maana hapo
 
Huyu mjinga kweli, haya mambo yanatokea kila mara kwa timu zote. Masimu uliopita Simba iliongoza kwa kupigwa faini za ushirikina.
 
Back
Top Bottom