Tuta Absoluta Kantangaze
Member
- Nov 2, 2023
- 83
- 251
Kuna watu wapumbavu mle ndani wanaendesha team kipuuzi sana.Aiseee...Yanga ni hovyooo kabisa
pathetic
Unadhani maoni ya hawa Watu wawili yalikuwa ya Uwongo?Kuna viongozi wa Serikali wanaiiharibu sana hii team kiasi kwamba wote tunaonekana hatuna akili. Wote tunaonekana vilaza. Tufanyeni mambo kisomi. Huu upumbavu hautatusaidia hata kidogo. Ni mambo ya kipuuzi. Na msitake kuleta madeko na hatimaye kuja iharibu Ligi yetu kipuuzi tu.
View attachment 3265853
Dah,wametokwa povu Sasa wamelegea wanaona haya.Ila wengi wao hawana umri wa kutosha hawazijui timu hizi kiundani.Unadhani maoni ya hawa Watu wawili yalikuwa ya Uwongo?
Haji Manara...
Wenye Akili timamu Yanga SC nzima ni Baba yake Mzee Manara na Rais Mstaafu Kikwete.
Kocha Luc Eymael...
Mashabiki wa Yanga SC ni sawa na Nyani, Mbwa na Sokwe.
Yupo biasedKuna viongozi wa Serikali wanaiiharibu sana hii team kiasi kwamba wote tunaonekana hatuna akili. Wote tunaonekana vilaza. Tufanyeni mambo kisomi. Huu upumbavu hautatusaidia hata kidogo. Ni mambo ya kipuuzi. Na msitake kuleta madeko na hatimaye kuja iharibu Ligi yetu kipuuzi tu.
View attachment 3265853
Namungo inaingiaje hapa...Jikite kwenye madabla bla tu
aongelee na kadi nyekundu ya mchezaji wa Namungo alikuwapo/angekuwapo angefanya nini?
au ndo angeishia kusema Refa naye ni binadamu
Kivipi???Yupo biased
Aisee🙌🏽Kuna viongozi wa Serikali wanaiiharibu sana hii team kiasi kwamba wote tunaonekana hatuna akili. Wote tunaonekana vilaza. Tufanyeni mambo kisomi. Huu upumbavu hautatusaidia hata kidogo. Ni mambo ya kipuuzi. Na msitake kuleta madeko na hatimaye kuja iharibu Ligi yetu kipuuzi tu.
View attachment 3265853
Yanga na wakatoliki nani wa hovyo?Aiseee...Yanga ni hovyooo kabisa
pathetic
Usisahau wenye akili nyuma mwiko ni wawili tuNamungo inaingiaje hapa...Jikite kwenye mada