mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
Kuna nin?Tunakusubiri 2025
Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.
Naomba ufafanuzi.
Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.
Naomba ufafanuzi.
View attachment 1870438
Na hili watu mtasema ni coincidence
Hili ni tapeli la kawaida kati ya wale manabii wa bandia ambao watapotosha wengi. Ni kati ya wale vihiyo walioogopa umande wakaamua kuchagua mambo yasiyohitaji elimu kama wahubiri wa mihadhara ili kujipatia riziki chafu. Wanaibia wengi hasa wajinga waliokata tamaa. Utasikia dokta so and so wakati hajui hata chumba cha shahada ya kwanza kikoje. Hawa ndiyo wale wezi wa mchana wanaotumia roho mtakatifu kutumikia roho mtakakitu.Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.
Naomba ufafanuzi.
View attachment 1870438
Hili ni tapeli la kawaida kati ya wale manabii wa bandia ambao watapotosha wengi. Ni kati ya wale vihiyo walioogopa umande wakaamua kuchagua mambo yasiyohitaji elimu kama wahubiri wa mihadhara ili kujipatia riziki chafu. Wanaibia wengi hasa wajinga waliokata tamaa. Utasikia dokta so and so wakati hajui hata chumba cha shahada ya kwanza kikoje. Hawa ndiyo wale wezi wa mchana wanaotumia roho mtakatifu kutumikia roho mtakakitu.Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.
Naomba ufafanuzi.
View attachment 1870438
Ngoja nijaribu kutema yai kidogo.
Labda...pengine...!!!Na hili watu mtasema ni coincidence
Huyu ni mzinzi mbobezi bila Shaka umenena vyemaPepo lake la uzinzi limepanda anatafuta mtu wa kumpelekea moto.
Pepo lake la uzinzi limepanda anatafuta mtu wa kumpelekea moto.
inasikitisha sana
Ni mbaya sanainasikitisha sana
Mwendawazimu huyoo....achana nae.Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.
Naomba ufafanuzi.
View attachment 1870438
Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.
Naomba ufafanuzi.
View attachment 1870438