Video: Kwa hili sijamuelewa Askofu Gwajima

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.

Naomba ufafanuzi.

Your browser is not able to display this video.
 
Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.

Naomba ufafanuzi.

Huwezi kumwelewa kama haupo kwenye lile genge.
 
Utamwelewaje wakati anachoongea hapo sio kikristo na wala hakihusiana na Kristo.
Amepandwa na roho mchafu.
 
Huyu ni Mcha... Na analeta mada za kicha....(Malizieni wenyewe)
 
Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.

Naomba ufafanuzi.

View attachment 1870438
Hili ni tapeli la kawaida kati ya wale manabii wa bandia ambao watapotosha wengi. Ni kati ya wale vihiyo walioogopa umande wakaamua kuchagua mambo yasiyohitaji elimu kama wahubiri wa mihadhara ili kujipatia riziki chafu. Wanaibia wengi hasa wajinga waliokata tamaa. Utasikia dokta so and so wakati hajui hata chumba cha shahada ya kwanza kikoje. Hawa ndiyo wale wezi wa mchana wanaotumia roho mtakatifu kutumikia roho mtakakitu.
 
Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.

Naomba ufafanuzi.

View attachment 1870438
Hili ni tapeli la kawaida kati ya wale manabii wa bandia ambao watapotosha wengi. Ni kati ya wale vihiyo walioogopa umande wakaamua kuchagua mambo yasiyohitaji elimu kama wahubiri wa mihadhara ili kujipatia riziki chafu. Wanaibia wengi hasa wajinga waliokata tamaa. Utasikia dokta so and so wakati hajui hata chumba cha shahada ya kwanza kikoje. Hawa ndiyo wale wezi wa mchana wanaotumia roho mtakatifu kutumikia roho mtakakitu.
 
Ngoja nijaribu kutema yai kidogo.
So according to this post, it seems like it was planned (I dont know from where these plans come from) to demolish/destroy/vanish all country leaders who refused/resist to take the vaccine, who planned has succeeded. African its time to wake-up and see whats the hidden agenda behind this vaccine. [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…