Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.
Gwajima alikuwa akiongea na familia yake, alikuwa kaiongea na marafiki zake, alikuwa akiongea na watu wake. Hao aliokuwa akiongea nao walimwelewa. Hiyo ni lugha ya kwao wewe kama si mmoja wao huwezi kuielewa.
Gwajima alikuwa akiongea na familia yake, alikuwa kaiongea na marafiki zake, alikuwa akiongea na watu wake. Hao aliokuwa akiongea nao walimwelewa. Hiyo ni lugha ya kwao wewe kama si mmoja wao huwezi kuielewa.