The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Moja ya mgombea Kyela Mbeya kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHEDEMA amemuomba mtoto wake amsaidie kuomba kura kwa wananchi wakati wa kampeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naye maji yalimfika na yamefika shingoni zamani na sasa yanavuka shingo karibu atafia humo..Mwenyekiti amemteua mume wa binti yake kusimamia uchaguzi. Je, maji yamefika shingoni?
Nimepatwa na uchungu kuona hii video. Kuna wengine hapo huyo dogo kawaliza itazame vizuri.Moja ya mgombea Kyela Mbeya kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHEDEMA amemuomba mtoto wake amsaidie kuomba kura kwa wananchi wakati wa kampeni.
Mtoto kawasilisha bila kuogopa, baba kaamua kumtumia mtotoNimepatwa na uchungu kuona hii video. Kuna wengine hapo huyo dogo kawaliza itazame vizuri.
Kuna ubaya?Mtoto kawasilisha bila kuogopa, baba kaamua kumtumia mtoto
Huku ni kuishiwa... Kwani ni uchaguzi wa kuongoza familia huu? Hakuna makada wa chama chake wa kuelezea sera?
Nimepatwa na uchungu kuona hii video. Kuna wengine hapo huyo dogo kawaliza itazame vizuri.
Kwahiyo leo mtoto amekosa masomoMoja ya mgombea Kyela Mbeya kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHEDEMA amemuomba mtoto wake amsaidie kuomba kura kwa wananchi wakati wa kampeni.
Chadema chali, chali kama mendeMoja ya mgombea Kyela Mbeya kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHEDEMA amemuomba mtoto wake amsaidie kuomba kura kwa wananchi wakati wa kampeni.