Video: Machinga wa Tanzania wanavyonufaika kwenye mpaka wa Kenya na Uganda

Video: Machinga wa Tanzania wanavyonufaika kwenye mpaka wa Kenya na Uganda

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Mipaka ya Kenya na Uganda imefunguliwa kiasi kwamba tunahusiana bila kuwekeana vikwazo vya kijinga. Hii imewavutia hata Watanzania kuja kunufaika na huu uhuru.

Leo hii ukiingia au kutoka Kenya/Uganda/Rwanda kama unatokea kwenye mojawapo wa hizo nchi, huna wa kukuzingua ilmradi una kitambulisho cha nchi yako unakotoka.

 
So that one incidence makes Kenya business friendly? How about fastjet application to start across local routes? Or Tanzania sugar accessing Kenyan market?
 
he he geza be like

headinsand.jpg
 
Back
Top Bottom