MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mipaka ya Kenya na Uganda imefunguliwa kiasi kwamba tunahusiana bila kuwekeana vikwazo vya kijinga. Hii imewavutia hata Watanzania kuja kunufaika na huu uhuru.
Leo hii ukiingia au kutoka Kenya/Uganda/Rwanda kama unatokea kwenye mojawapo wa hizo nchi, huna wa kukuzingua ilmradi una kitambulisho cha nchi yako unakotoka.
Leo hii ukiingia au kutoka Kenya/Uganda/Rwanda kama unatokea kwenye mojawapo wa hizo nchi, huna wa kukuzingua ilmradi una kitambulisho cha nchi yako unakotoka.