diamond anatawala sana muziki wa tanzania sio sababu anajua sana kuimba... bali maisha yake ni kama movie... anatumia hadi mama yake.. mtoto wake.. mke wake dada zake kutengeneza helaaa...
hiyo kiki hiyo ameitengeneza... yeye ndio kawaambia nendeni hospitali....
dogo ajaenda shule ana akili kuliko ma prof wa markerting...
ukitaka uwin kwenye music wa tanzania imba nyimbo nyepesi watoto kukariri.. cheza kwa style watoto wakariri haraka... kisha weka maisha ya umbea umbea wanawake wakujadili... hapo unatoboa