Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mr. Roho mbaya analia huko aliko kwa maombaombaKwa kadri ya macho yangu Mkutano huu wa kata ya machame waweza kuwa umevunja rekodi ya mikutano ya kisiasa iliyowahi kufanyika kwenye jimbo la Hai .
Hakika kumtoa mtu huyu kwenye jimbo hili kunahitajika wapiga kura wapya kabisa , ama labda wazaliwe watu wapya wengine Hai nzima .
View attachment 1582946
Mtamtukana Lissu matusi mangapi sasa ? Halafu unatukanaje bila TBC kuwepo ?Mbowe mjanja sana, yeye anarudi Bungeni lkn yule takataka ndo kwisha habari yake, na baada ya Oktoba 28 hata hela za kujikimu chadema hawatampa, ...
nyuzi za ccm ziko chungu tele mbona mnang'ang'ania huku tu ?Ile nyimbo Hatimtaki huyo Mbowe aliimbiwa kwenye mafuriko ya kata gani vile? 🤣🤣
Kua na adabu BasiMbowe mjanja sana, yeye anarudi Bungeni lkn yule takataka ndo kwisha habari yake, na baada ya Oktoba 28 hata hela za kujikimu chadema hawatampa, ...
Haya maeneo yafuatayo amekwisha tembelea mwambie akupe picha za maeneo hayo, mimi nanazo picha nyingi tuu, maeneo ya : Uroki, Nkira, Uswaa, Mamba, Nkoraya,Mwowe, Kyeeni na Kashinsha. Aongeze nguvu sana, sipendi ashindwe lakini for the first time autafute Ubunge.
TOKA UMARUFU ALIOKUANAO UMESHUKA KIASI HICHO MPAKA AMEANZA KUUBUSTI KWA KUKANYAGA KANGA ZA WANAWAKE. HII KIKI INABUMA, NA UBUNGE ATAGARAGAZWA ASUBUHI SAANA. AKANYAGE HIZO KANGA KWA MARA YA MWISHO.Kwa kadri ya macho yangu Mkutano huu wa kata ya machame waweza kuwa umevunja rekodi ya mikutano ya kisiasa iliyowahi kufanyika kwenye jimbo la Hai .
Hakika kumtoa mtu huyu kwenye jimbo hili kunahitajika wapiga kura wapya kabisa , ama labda wazaliwe watu wapya wengine Hai nzima .
View attachment 1582946
Sasa kama unazo picha nyingi sisi tukusaidie vipi!? Acha kuandika PUMBA!
Takataka gani? Punguza maneno machafu kwa binadamu kama wewe. Siyo ustaarabu wala utu kumwita mtu takataka.Mbowe mjanja sana, yeye anarudi Bungeni lkn yule takataka ndo kwisha habari yake, na baada ya Oktoba 28 hata hela za kujikimu chadema hawatampa, ...
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyoMbowe mjanja sana, yeye anarudi Bungeni lkn yule takataka ndo kwisha habari yake, na baada ya Oktoba 28 hata hela za kujikimu chadema hawatampa, ...