OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mtu mwenyewe Othman Kazi mla rushwa mkubwa. Kwa mdomo wake alikiri kupokea laki mbili Ruvuma akafungiwa maisha. Hana moral authority ya kusema lolote. Labda kapewa hela aseme asemalo.
Mkuu.. Haijalishi ni mda gani umepita (hata kama ni miaka 50).. Ukweli lazima ujulikane na uwekwe wazi.Yan mpaka leo mnaongelea tu ile mechi.? Haya pigrni filimbi mkaweke penalty sasa.
Hebu acha upuuzi, wenzio bado tupo Msongo was kutekwa Tajiri letu, nyie mnabishana upuuzi wenu usio na tija? Wachezaji wenyewe mnao wasifia so lolote so chochote.Mkuu.. Haijalishi ni mda gani umepita (hata kama ni miaka 50).. Ukweli lazima ujulikane na uwekwe wazi.
kateni rufaa mikia mpewe goli hilo na point 3
Sasa kama una msongo, umefuata nini huku?? Kwa sasa jambo lipo katika vyombo vya ulinzi na usalama wanalishughulikia.. Unataka sisi wanachama kindaki ndaki pamoja na mashabiki lia lia tufanyaje? Si jana tu tulivyokutana katika makao ya klabu tukamuombea kila siku tunafanya hili zoezi.. Unataka tufanye nini zaidi ya hili?Hebu acha upuuzi, wenzio bado tupo Msongo was kutekwa Tajiri letu, nyie mnabishana upuuzi wenu usio na tija? Wachezaji wenyewe mnao wasifia so lolote so chochote.
Unachangia mada gani? au bangeKwamba goli aliliofunga ajibu dhidi ya mbao akifunga kagere career yake ndo inaishia hapo maana spinal cord itakuwa kwenye hali mbaya
Mwache mwenzio atujuze! Usipaniki mkuu, huu mchezo hauhitaji hasiraUnachangia mada gani? au bange
Huo ukweli utaenda kubadilisha matokeo sasa.?Mkuu.. Haijalishi ni mda gani umepita (hata kama ni miaka 50).. Ukweli lazima ujulikane na uwekwe wazi.
Katika kesi za mauaji.. Muuaji hupewa adhabu ya either kifungo cha maisha au kunyongwa.. Adhabu hizo kwani humrudisha marehemu? Hilo hua ni funzo kwa wengine.Huo ukweli utaenda kubadilisha matokeo sasa.?
Katika kesi za mauaji.. Muuaji hupewa adhabu ya either kifungo cha maisha au kunyongwa.. Adhabu hizo kwani humrudisha marehemu? Hilo hua ni funzo kwa wengine.
Katika gemu yetu.. Kukaa kimya dhidi ya refa hakusaidii kitu, but tunapopaza sauti kwa nguvu inasaidia kuondoa makosa kama hayo siku zijazo.
NB: Uganda 2-0 Lesotho (Okwi, Miya)... HT.
Pima hoja zake!Huyu Kazi ni kiazi tu, hajui kabisa uchambuzi zaidi ya unazi tu