Video: Masai achukizwa na uonevu unaofanyika Zanzibar

Video: Masai achukizwa na uonevu unaofanyika Zanzibar

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Mtu mmoja mwenye asili ya Masai ameonyesha kuchukizwa na uonevu unaoendelea huko Zanzibar dhidi ya Wamasai.

Akiongea kwenye video Masai huyo amesema "walichofanya polisi ni uonevu kwakuwa hawakuwa na kibali cha kuwakamata wamasai kule Zanzibar".

ANGALIA HAPA VIDEO


Nini maoni yako?

Written By Mjanja M1
 
Hao mlandege kipigo walichopewa kiwe fundisho mbona wamas hawana shida na mtu.
 
Mtu mmoja mwenye asili ya Masai ameonyesha kuchukizwa na uonevu unaoendelea huko Zanzibar dhidi ya Wamasai.

Akiongea kwenye video Masai huyo amesema "walichofanya polisi ni uonevu kwakuwa hawakuwa na kibali cha kuwakamata wamasai kule Zanzibar".

ANGALIA HAPA VIDEO
View attachment 2892015

Nini maoni yako?

Written By Mjanja M1
Lianzisheni tu na hao polisi watumbatu, msiwaogope!
 
Mtu mmoja mwenye asili ya Masai ameonyesha kuchukizwa na uonevu unaoendelea huko Zanzibar dhidi ya Wamasai.

Akiongea kwenye video Masai huyo amesema "walichofanya polisi ni uonevu kwakuwa hawakuwa na kibali cha kuwakamata wamasai kule Zanzibar".

ANGALIA HAPA VIDEO
View attachment 2892015

Nini maoni yako?

Written By Mjanja M1
Hoja yao ina mashiko!
 
Mtu mmoja mwenye asili ya Masai ameonyesha kuchukizwa na uonevu unaoendelea huko Zanzibar dhidi ya Wamasai.

Akiongea kwenye video Masai huyo amesema "walichofanya polisi ni uonevu kwakuwa hawakuwa na kibali cha kuwakamata wamasai kule Zanzibar".

ANGALIA HAPA VIDEO
View attachment 2892015

Nini maoni yako?

Written By Mjanja M1
Hao ni wamasai toleo la mwisho...mmasai 0G hawezi kua mlinzi,msuka nywele au kazi za kipuuzi kma hizo wanafanya znz,hao wengi wamasai wa chalinze,msata,kilindi ambao tamaduni kwao imepotea mda sana wamekua waswahili
 
Back
Top Bottom