HAHAHAH diamond kagoma kupima!Kwa michezo ya pale wakapime na boss wake
Mkumbushe aende kupima baada ya miezi 3,huenda yupo kwenye window periodBaada ya Rayvanny msanii kutoka wasafi classic inayomilikiwa na Diamond Platinumz a.k.a Simba kupima HIV maambukizi ya virusi vya ukimwi na kuweka hadharani matokeo huku akiwasii wasanii wenzake wa Wasafi sanasana akionyesha msisitizo kwa Harmonize na Richmavoko. Rayvanny aachia video online instagram kuonyesha wafuasi wake kuwa mambo ni safi kabisa.
hili nalo nenoMkumbushe aende kupima baada ya miezi 3,huenda yupo kwenye window period
classic babyWasafiiiiiiiiiiiiiiiii