Internet-Money
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 493
- 1,135
Bora limekufa lile lienda kuzimu 😂😂😅😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo lilian Mbowe usimwite mtoto pengine anamzidi mamako aliyekuzaa.dah chairman anakula bata watoto wakaali,wacha sisi tupambanie katiba mpya
Sio mbaya nikikumbushia,Wewe mleta mada uko nyuma sana ya muda. Utakuwa unashinda Facebook wewe.
Hii kitu watu wameiona na kuijadili tangu wiki iliyopita wewe ndiyo unaileta leo??? Shubamiti!
Acha Mihemko ,Maisha mabovu na ya kimaskini ya huko kwenu chato
Nime m-tag yawekana taarifa ikamfikia huko kuzimuKwahy mada inamhusu aliyekufa au hao chawa.? Au asali imekuzidi utamu.?
Kamanda wa siasa za kiutu, haki na maendeleo
Mumeo na watoto hawajambo??Huyo lilian Mbowe usimwite mtoto pengine anamzidi mamako aliyekuzaa.
Maisha mabovu na ya kimaskini ya huko kwenu chato yanawafanya kila asiye na mwili wa kuchoka mnamwona mtoto. Lilian ni mtu mzima sana sema tu ako na good life.
Kosa la Mbowe lipo wapi kwenye hiyo video; labda kama umesoma title ya thread na kutoangalia video yenyewe.Chadema ndio kwishney...hahaaaa
Mbona irrelevant?Huyo lilian Mbowe usimwite mtoto pengine anamzidi mamako aliyekuzaa.
Maisha mabovu na ya kimaskini ya huko kwenu chato yanawafanya kila asiye na mwili wa kuchoka mnamwona mtoto. Lilian ni mtu mzima sana sema tu ako na good life.
dah chairman anakula bata watoto wakaali,wacha sisi tupambanie katiba mpya
Chadema ndio kwishney...hahaaaa