Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wanalipwa bei gani?Mshahara wa dada wa KAZI hata mwenye elimu ya Masters bongo apati.
Mengine ni ajali kazini
Mtu mwenyewe KOLO.Wakuu,
Mtanzania mwenye umri wa miaka 33, Fatma Nassoro anapitia mateso makubwa akiwa nchini Iraq, ambako alienda kufanya kazi tangu mwaka 2022. Fatma amesema amekuwa akiishi katika mazingira magumu chini ya mwajiri wake, huku akinyimwa chakula, kupigwa mara kwa mara, kutukanwa, kubezwa, na hata kutemewa mate.
Juhudi zake za kutaka kurejea nyumbani zimegonga mwamba baada ya mwajiri wake kuficha pasipoti yake, akimzuia kuondoka. Mwaka jana, Fatma alipata msiba mzito baada ya kufiwa na mtoto wake, lakini alinyimwa ruhusa ya kurudi Tanzania kuhudhuria mazishi.
Kwa sasa, hali imezidi kuwa ngumu, huku afya ya mama yake ikiwa dhoofu, lakini bado ameshindwa kurudi kumwona. Fatma anasema Iraq haina ubalozi wa Tanzania, hali iliyomwacha bila msaada wa karibu wa kisheria au ulinzi.
Amebainisha kuwa anawasiliana kwa siri kupitia namba ya jirani wakati mwajiri wake hayupo, akitafuta msaada wa kurejea nyumbani. Fatma anatoa wito kwa mamlaka za Tanzania na mashirika ya haki za binadamu kumsaidia kurejea salama na kumaliza mateso anayopitia.
Kilio cha samaki hakina machoziWakuu,
Mtanzania mwenye umri wa miaka 33, Fatma Nassoro anapitia mateso makubwa akiwa nchini Iraq, ambako alienda kufanya kazi tangu mwaka 2022. Fatma amesema amekuwa akiishi katika mazingira magumu chini ya mwajiri wake, huku akinyimwa chakula, kupigwa mara kwa mara, kutukanwa, kubezwa, na hata kutemewa mate.
Juhudi zake za kutaka kurejea nyumbani zimegonga mwamba baada ya mwajiri wake kuficha pasipoti yake, akimzuia kuondoka. Mwaka jana, Fatma alipata msiba mzito baada ya kufiwa na mtoto wake, lakini alinyimwa ruhusa ya kurudi Tanzania kuhudhuria mazishi.
Kwa sasa, hali imezidi kuwa ngumu, huku afya ya mama yake ikiwa dhoofu, lakini bado ameshindwa kurudi kumwona. Fatma anasema Iraq haina ubalozi wa Tanzania, hali iliyomwacha bila msaada wa karibu wa kisheria au ulinzi.
Amebainisha kuwa anawasiliana kwa siri kupitia namba ya jirani wakati mwajiri wake hayupo, akitafuta msaada wa kurejea nyumbani. Fatma anatoa wito kwa mamlaka za Tanzania na mashirika ya haki za binadamu kumsaidia kurejea salama na kumaliza mateso anayopitia.
Kazi za mkataba mbaya zaidi aliyempeleka ndiye kasaini kila kitu wengi hawajui...Anaandikisha mkataba ili apate commission na faida. so inakuwa yule mfanyakazi hajui chochote na pesa ishatolewa.huyu atakuwa amepeleka uswahili kwenye kazi za watu (ubishi na ujuaji) ndio wameamua kumnyoosha sasa anaanza kusumbua watu!
Huenda walishakuwa manipulated kuwa ukifika huko basi shida zako zote umemalizaIla hawa watu nao jamani khaaa,. Tangu niko mdogo nasikiaga tu wakilalamika hivihivi sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao.. Kwani kazi sehemu nyingine zenye usalama hakuna ??
Hamna mwarabu mwenye roho nzuri duniani...kama humming ambience nani amemsaidia Gaza hata Palestina wenyewe wamewakacha...waarabu wanachinjana Syria wanakimbilia Magharibi...mwarabu Ana roho mbaya full stopAcha chuki na wale wanaoteswa hapa hapa bongo na wakinamama waliokosa malezi hao ni waarabu nao.
Huyo bahati mbaya tu kaangukia kwenye sufuria la uji.
Tabia hazina uhusiano na race
Mbona waafrika walimuacha Gadaf anauwa pekee wamesaidia nini.Hamna mwarabu mwenye roho nzuri duniani...kama humming ambience nani amemsaidia Gaza hata Palestina wenyewe wamewakacha...waarabu wanachinjana Syria wanakimbilia Magharibi...mwarabu Ana roho mbaya full stop
Wanawake Huwa hawasikii Katu. Hata Leo hii Kuna wengine wameenda hukohukoIla hawa watu nao jamani khaaa,. Tangu niko mdogo nasikiaga tu wakilalamika hivihivi sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao.. Kwani kazi sehemu nyingine zenye usalama hakuna ??
Kwa level ya chiniHao wote wanaofanya kazi za ndani uarabuni mishahara yao ni laki 6 ikizidi sana laki 8.
Waarabu ni wapuuzi sanaKila siku mnaambiwa waarabu sio watu hamuelewi...akome