Pre GE2025 Video: Mkuu wa Wilaya ya Muheza akitumbuiza jukwaani kwenye mkutano wa Rais Samia

Pre GE2025 Video: Mkuu wa Wilaya ya Muheza akitumbuiza jukwaani kwenye mkutano wa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mpaka tunaingia kwenye ballot box mwezi Oktoba tutaona mambo mengi sana kutoka kwa hawa wanasiasa.

=======================================================

Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Zainab Abdallah akitoa burudani jukwaani kabla ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzungumza na wananchi wa Muheza, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.

Rais Samia yupo mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi ambapo anakagua na kuzindua miradi mbalimbali, pamoja na kuzungumza na wananchi.

 
Wakuu,

Mpaka tunaingia kwenye ballot box mwezi Oktoba tutaona mambo mengi sana kutoka kwa hawa wanasiasa.

=======================================================

Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Zainab Abdallah akitoa burudani jukwaani kabla ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzungumza na wananchi wa Muheza, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.

Rais Samia yupo mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi ambapo anakagua na kuzindua miradi mbalimbali, pamoja na kuzungumza na wananchi.

Ana furahia yeye na mumewe wanalipwa mamilioni ya wanyonge huku wananchi wanaowaongoza ni masikini wakubwa. Hovyo kabisa
 
Wakuu,

Mpaka tunaingia kwenye ballot box mwezi Oktoba tutaona mambo mengi sana kutoka kwa hawa wanasiasa.

=======================================================

Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Zainab Abdallah akitoa burudani jukwaani kabla ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzungumza na wananchi wa Muheza, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.

Rais Samia yupo mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi ambapo anakagua na kuzindua miradi mbalimbali, pamoja na kuzungumza na wananchi.

Hiyo ni taaluma kama taaluma zingine.Hivi umemuona DC tu naibu waziri hujamuona?
 
Ana furahia yeye na mumewe wanalipwa mamilioni ya wanyonge huku wananchi wanaowaongoza ni masikini wakubwa. Hovyo kabisa
Hakuna nchi ambayo wananchi wake wote ni matajiri!.
Hakuna nchi ambayo wananchi wake wote ni masikini!.
Hakuna nchi ambayo wananchi wake wote wameajiriwa na serikali!.
Hakuna nchi ambayo serikali yake inagawa pesa kwa wananchi wasiofanya kazi!.
 
Wakuu,

Mpaka tunaingia kwenye ballot box mwezi Oktoba tutaona mambo mengi sana kutoka kwa hawa wanasiasa.

=======================================================

Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Zainab Abdallah akitoa burudani jukwaani kabla ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzungumza na wananchi wa Muheza, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.

Rais Samia yupo mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi ambapo anakagua na kuzindua miradi mbalimbali, pamoja na kuzungumza na wananchi.

Watasubiri sana kupata maendeleo ya kweli hao viumbe kwa kufurahia kurusha rusha mikono hewani.
 
Hakuna nchi ambayo wananchi wake wote ni matajiri!.
Hakuna nchi ambayo wananchi wake wote ni masikini!.
Hakuna nchi ambayo wananchi wake wote wameajiriwa na serikali!.
Hakuna nchi ambayo serikali yake inagawa pesa kwa wananchi wasiofanya kazi!.
UWT huna akili, kuwateua mke na mume ni kwamba watanzania wengine hawana sifa? acha kutetea upumbavu, nafasi ni za upendeleo ndiyo maana hakuna maendeleo.
 
Back
Top Bottom