Video: Mpina akiwasha tena Trilioni 2 za SGR, ataka mkandarasi atimuliwe

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Mpina akiwasha tena Sh2 Trilioni za SGR ataka mkandarasi atimuliwe; Naibu Waziri amjibu

Your browser is not able to display this video.
 
Wiziwizi tu, kwa hiyo CAG ni muongo basi hatuna haja ya kuwa na CAG maana Hana anachokifanya kikasikilizwa.
 
Mbona Mpina anapenda kuvaa Kigwanda gwanda? Kwani akivaa kawaida points zinakuwa haziji?
 
Mpina anateseka sana, anadhani marehemu atafufuka
 
Hizi hoja za huyu Mpina sijui kama huyo Naibu Waziri na mawaziri wengine huwa wanajiandaa kuzijibu, mara nyingi nawaona wanatoa majibu ya zimamoto ilimradi muda uende.

Mpina anaonekana kufanyia uchunguzi juu ya hoja zake anazoibua, lakini hawa jamaa na majibu yao nawaona wanajibu tu bora swali lipite.
 
Mbona Mpina anapenda kuvaa Kigwanda gwanda? Kwani akivaa kawaida points zinakuwa haziji?
Wanajeshi na kada nyingine inayovaa uniform kwani wakivaa kawaida kazi haziwezi kufanyika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…