bado nina tatizo kwenye hili..............
video nzuri na aghali lakini kwa nyimbo za kawaidaaaaaaaaaaa saaaaana,kinyume chake na enzi zile wanatoa nyimbo kali alafu video za bei chee.....dah
Ay hana jipya kashapotea....na amshukuru sana Hermy B kwa kumrudisha maskioni mwa watu tungeshamsahau kama rafiki yake Snare..promo kubwa kiwango kidogo ndio maana nyimbo zake hazikai.
Juzi pale Millenium Tower alikuwa anajitapa kuwa amespend 33 Million for this Music Video! Kumbe Bongo watu wenye tabia kama Wema Sepetu wapo wengi enhee?
Ay hana jipya kashapotea....na amshukuru sana Hermy B kwa kumrudisha maskioni mwa watu tungeshamsahau kama rafiki yake Snare..promo kubwa kiwango kidogo ndio maana nyimbo zake hazikai.