Video: Msanii NEYO awasili jijini Dar kupiga show

chinchilla coat

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2016
Posts
5,107
Reaction score
10,969
Msanii wa RnB kutoka Amerika maarufu kwa jina la Ne-yo amewasili leo jijini dar kwa ajili ya kupiga sho
 
Ne - yo pembeni DIAMOND bonge moja la shoo.
 
Kwanza atampitia Ali Kiba wapige lunch mitaa ya Kariakoo ndio aendelee na safari.
 
Nani neyo bora nikamcheki Snura na Chura wake mi nikajua ni Mzee wa HYFR yaani drake kumbe ni ne-yo hamna kitu hapoo
 
Hapana mkuu Mimi ni mTZ&KE yaani nina uraia wa nchi 2 kk avatar inajieleza
 
Nani neyo bora nikamcheki Snura na Chura wake mi nikajua ni Mzee wa HYFR yaani drake kumbe ni ne-yo hamna kitu hapoo
Unayo pesa ya kuingilia kwenye shoo, maneno tu unajifurahisha nafsi.
 
Mbwiga ww unadhani kisa neyo basi ndo uende tu!! post yang kama muelewa utabaini kuwa kuna watu wakuwaleta toka nje sio neyo,Eti pesa limbukeni ww.
 
Nani kamleta? Au ni clouds wanataka kuja kupangua upepo wa NDI NDI NDI?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…